FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
- Thread starter
- #21
OkWengi huwa hawajui kama siku moja watakuja kuwa marais, ila jinsi maisha, siasa na kazi zinavyoenda ndio mtu anakuja kuona, kumbe na mimi naweza kujaribu hii kazi.
Right place, right time, right people na bahati muhimu.