FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Bado najiuliza ni bahati iliyoje kati ya mamilioni ya watu MTU mmoja tuu unapata bahati ya kuwa rais wa Nchi,cheo ambacho unaweza kuwataka watu wote wasitoke majumbani,ukiagiza ghorofa lijengwe linajengwa japo litachelewa,
Mliosoma history za viongozi mtujuze makuzi ya watu hawa huwa yakoje mpaka kupata bahati hii kubwa.
Mliosoma history za viongozi mtujuze makuzi ya watu hawa huwa yakoje mpaka kupata bahati hii kubwa.