Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
panda bajaji hapo kwa mromboo,Huku ni wapi Memo? Nipe ramani jinsi ya kufika tafadhali!!!!
mwambie akulete barabara ya 8 nyumba ya 4 kulia.
mkifika mwambie apige honi.
panda bajaji hapo kwa mromboo,Huku ni wapi Memo? Nipe ramani jinsi ya kufika tafadhali!!!!
Unaogopa nini?Au yeye ni nyumba ndogo?
:A S-coffee::A S-coffee::bolt:Unaogopa nini?Au yeye ni nyumba ndogo?
kwa hiyo hapa maana yake ni sharing is not caring.sitaki majungu,napenda awe wangu peke yangu,ku share na mtu nooooooooo
Baelezee baelewe bana!!!
mi mzima kabisa, hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na uwezo wa tukutuku yangu kukufikia.
:A S-heart-2::A S-heart-2:
:A S-heart-2::A S-heart-2:me too sweetheart!!good night honey,i am going to sleep now.i love youuuuuuuuuuu,lala salama honey.nikuone kwenye njozi zangu.see you tomorrow
Good pointSafi sana faida za technology...
kama wame oana sioni shida..
My dear ushauri wangu kwako usijaribu
kumbuka kwenye video came
Mtu anaweza kupiga picha bila weye kujua
unaweza ukute picha zako za sehemu nyeti
Kwenye net ukajivunjia heshima..
Kama uko mwenye na unataka kujaribu kitu
kama hicho jaribu sex phone, au kitu kama skype
Lakini usitumie video..
Good point
Hivi ukiona nyeti kwenye net utazijua kuwa ni zako?
au mpaka uone na kitu cha kukutambulisha?
Halafu hapo kwenye kupiga picha, hivi mwenzi wako anaweza kufanya hiyo kitu?
Jamaa yangu yuko nje ya nchi na mkewe yuko tz. Sasa anasema ati wanatumia webcam kufanya mapenzi. Wanakuwa wanaongea na kuonyeshana sehemu za siri huku wakizisugua hadi kila mmoja anakojoa. Halafu cha ajabu wanaweza kurudia hadi mara tatu kitu ambacho hawakuweza katika physical contact. Naomba tumshauri huyu jamaa ili kama hakuna madhara na mimi nimtafute mmoja hapa jf niwe nafanya naye hii kitu mana niko alone. Asanteni wahenga
hao wanajichua tu huku wakitazama picha zao na hawafanyi mapenzi. madhara yanayoweza kuwapata ni madhara yaleyale yawapatao wote waoajichua ambayo ni ya kisaikolojia. kwa mujibu wa maelezo yako, tayari wameishapata madhara. umesema wakiwa pamoja kimwili hawafanyi kufikia mara tatu ila kwa huo mtindo wao wa kujichua wanafika mara hizo. ina maana kisaikolojia wanapenda picha zao kuliko jinsi wanavyopendana wenyewe. hii nayo ni psycholojical disorder.
kimwili wanajisababishia usugu kwenye nyeti zao, yaani kwa kuzisugua na mikono ambyo si natural kwa kazi hiyo, wanasababisha zinakuwa sugu na less sensitive, hivyo siku wakikutana kimwili, wataona hawafikishani walipotaka na watapendelea kurudia "kazi za mikono" na si ajabu wakajikuta wameanzisha life style mpya ya kujichua huku wakiwa chumbani kwao wawili kwa njia ya asili ya mapenzi itashindwa kuwatosheleza kutokana na usugu waliojijengea kupitia kujichua kwa webcam
wasipokuwa waangalifu, wanaweza hata kuharibikiwa kikazi, kwani unaweza kukuta hata baada ya mume kurudi, anatumia muda wa kazi ofisini kujichua kwa kuwasiliana na mkewe kupitia webcam licha ya kuwa wanalala chumba kimoja kila siku. siku wakifumwa hakika shigongo atauza sana magazeti. siku hizi kuna watu wanafanya mapenzi na watu lakini wanafika orgasm kwa kuvuta kumbukumbu ya picha fulani na sio kwa mhemko wanaoendelea kuu-experience kwenye tendo lao.
mi nawashauri wapunguze tabia hiyo na ifikie siku waache kabisa. kwa hakika hao wanajichua na siku wakikutana kimwili kutakuwa na tofauti kubwa kati ya real experience na expected experience na itaishia dissatisfaction, hivyo kuna uwezekano mkubwa huyo aliyesafiri akirudi hatampenda mkewe kama zamani.
mbarikiwe wapendwa
Glory to God
Watu wakishaona mada ni nzito wanawasingizia wengine duh!
hadithi za kusadikika.Jamaa yangu yuko nje ya nchi na mkewe yuko tz. Sasa anasema ati wanatumia webcam kufanya mapenzi. Wanakuwa wanaongea na kuonyeshana sehemu za siri huku wakizisugua hadi kila mmoja anakojoa. Halafu cha ajabu wanaweza kurudia hadi mara tatu kitu ambacho hawakuweza katika physical contact. Naomba tumshauri huyu jamaa ili kama hakuna madhara na mimi nimtafute mmoja hapa jf niwe nafanya naye hii kitu mana niko alone. Asanteni wahenga
Kwani nimekwambia nakuuzia?It was merely an opinion...not a suggestion!
Jamaa yangu yuko nje ya nchi na mkewe yuko tz. Sasa anasema ati wanatumia webcam kufanya mapenzi. Wanakuwa wanaongea na kuonyeshana sehemu za siri huku wakizisugua hadi kila mmoja anakojoa. Halafu cha ajabu wanaweza kurudia hadi mara tatu kitu ambacho hawakuweza katika physical contact. Naomba tumshauri huyu jamaa ili kama hakuna madhara na mimi nimtafute mmoja hapa jf niwe nafanya naye hii kitu mana niko alone. Asanteni wahenga