sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Jamani naomba mwenye kufahamu anifahamishe. DC WA WILAYA YA HANDENI BW. MUHUNGO amepewa maagizo na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Kapteni HONESTI ERNEST MWANOSSA kufuatilia na kuwafikisha mahakamani wale wote waliohusika na ujenzi duni wa zahanati ya kijiji cha KWEINGOMA, sijajua hapa nani mwenye mamlaka zaidi ya mwingine.