Msituhsribie uzi wetu wa Aristote nendeni PM mkabonge
Kama Nakuelewa HiviHakuna mwanaume aliekamilika akaendesha saloon ya kike.
Take it from there
Naomba kuja....Usiogope mtoto Mzuri eee mambo ya kawaida tu utakutana nayo, njoo chap
Jonijo piga kimyaHuyu jamaa amejizolea umaarufu kwa saluni yake ya kike, ambapo wakina dada na mama wa Dar es Salaam hasa wale maarufu wengi wao wanavutika na kushawishika kwenda kwake. Lakini pamoja na saluni kuwa ya kike, huwezi kukosa wanaume wa kutosha maeneo yanayozunguka saluni hiyo. Yaani ni sawa na kuwe na mzoga sehemu kamwe huwezi kosa ndege wanaozengea na kurandaranda.
Aristote amekuwa pia na tabia ya kupost mauno na makalio ya wanawake wanaoenda saluni kwake ambao huwa wanarekodiwa baada ya kumaliza kusukwa. Je, huyu jamaa nyuma ya hii saluni yake, sio danguro la kimya kimya kweli?
Malesbian wanatongozana kwenye uzi wenye mada tofauti..amaizing stuffMsituhsribie uzi wetu wa Aristote nendeni PM mkabonge
😂😂😂😂Bodi ya mkopo 15%
Bima ya afya 6%
Nssf
PAYE
Unemployment
Kudanga hakuna makato