ndani ya basi kuna ma harifu ya viatu, makwapa na perfume za aina mbali mbali, bora siti la dirishani bwana. tena nisipo kaa dirishani nitawapungiaje watu wajue leo nasafiri nimepanda basi?
kweli kabisa pana raha yakesio ushamba, kwanza siti za dirishini husumbuliwi eti sogea kuna anayetaka kushuka, isitoshe unapata chance nzuri ya kufurahia mandhari ya dunia kupitia dirishani.