Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,670
Kwa hiyo ukiwa na stress una mashetan!una mashetani?
Kwa hiyo ukiwa na stress una mashetan!una mashetani?
Kunapunguza machungu mkuuHivi kulia inasaidia maana naona asilimia kubwa ni kulia kwanza ?🙂
Stress zako nzuri zinapenda usafi uje na kwangu unisaidie usafi
Huwa nagegedana .. ....Nime - experience maisha yangu yote nikiwa na stress hata kama ni nzito kiasi gani hatua ninazochukua huwa zinanishangaza baada ya stress kuisha;
1. Huwa nalia weee huku naomba mungu aniepushe na kikombe hicho kwa wakati huo,
2 . Baada ya kuchoka kulia nafanya usafi vizuri ndani ya nyumba hasa chumba changu kisha nabadilisha mashuka yote kitandani naweka chumba katika hali ua usafi zaidi,
3 . Kisha najifungia chumbani hata kama ni siku nzima nakunywa wine weee lazima niweke kwenye dressing table au kinywaji kingine ambacho ni friendly kwangu huku machozi yanaendelea kububujika mpaka napitiwa usingizi, next day nakuwa na mawazo mapya.
Ila kila nikipata stress hatua zinazojirudia ndio hizo.
Wenzangu mkiwa na stress mnafanyaje?🙁
Nakumbuka Beyonce aliwahi kuhojiwa, na akathibitisha sex is best healer when she stressed up.
Mara nyingi kitu ambacho hatujawahi kuona au kukifanya tuna-assume hakipo au hakiwezekani.Nakumbuka Beyonce aliwahi kuhojiwa, na akathibitisha sex is best healer when she stressed up.
Watch out! Usikae na dawa ya panya jirani!Nime - experience maisha yangu yote nikiwa na stress hata kama ni nzito kiasi gani hatua ninazochukua huwa zinanishangaza baada ya stress kuisha;
1. Huwa nalia weee huku naomba mungu aniepushe na kikombe hicho kwa wakati huo,
2 . Baada ya kuchoka kulia nafanya usafi vizuri ndani ya nyumba hasa chumba changu kisha nabadilisha mashuka yote kitandani naweka chumba katika hali ua usafi zaidi,
3 . Kisha najifungia chumbani hata kama ni siku nzima nakunywa wine weee lazima niweke kwenye dressing table au kinywaji kingine ambacho ni friendly kwangu huku machozi yanaendelea kububujika mpaka napitiwa usingizi, next day nakuwa na mawazo mapya.
Ila kila nikipata stress hatua zinazojirudia ndio hizo.
Wenzangu mkiwa na stress mnafanyaje?🙁
Ni kweli. Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa wenzetu hasa nchi zilizoendelea.Mara nyingi kitu ambacho hatujawahi kuona au kukifanya tuna-assume hakipo au hakiwezekani.
Am glad you take a lesson. We totally different when it comes a time to overcome this shit called stress.I'm just learning that.
huwa nachukua simu nafuta namba zote za watu walio nikera nyuma.itokee mtu kanipigia simu hahahahaha sikawii kumwambia zima moto hapa nkusaidie nini??
Hata mimi nimeshangaa!Stress and good sex? where they do that at?
hahahaa!mkuu unanikumbusha nilipo kuwa shule o level nikikasirika sana aidha kwa kuchapwa au na maudhi yoyote ntasoma nakuelewa sanaNikiwa na stress, sometimes nasikiliza musics kwa sauti Kubwa, au nalala sana nikiwa nyumbani hiyo siku nitasugua na masufuria yote, vyombo vyote nasafisha.. Pia naweza fanya jogging napiga round za kunitosha..