olonyor engai
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 173
- 49
..mimi stress huwa zinanipeleka sana.. Nakunywa pombe sio za nchi hii... Kesho sitoki ndani nalala siku nzima, hata kula sili, simu sipokei, masterbate kwa sana, oooh God come our way
Sio kwa wote, kwa wengine good sex reduces stress.Oh word?! I thought I heard stress and sex didn't get along.
tupo wengi mkuu...weed hunifanya niweze kutatua mambo mazito na kufanya maamuzi magumuNkiwa na stress navuta bangi, basi nasahau kila kitu
Mie nkiwa na strec route za toilet "kukata gogo" huwa zinakuwa nyingi balaa mpka najikuta strec zinapungua
Nkiwa na stress navuta bangi, basi nasahau kila kitu
We ni mwanaume mkuu?Zikija labda mchana jion napiga sana laga
Hapo kama nipo ofsin mtu akijichanganya anakula tusi la mwaka
Nalia sana nkisha kula laga
Namalizia naku seduce [emoji1533]
Unapenda uzinziHapo ungemalizia na good sex ingekuwa poa zaidi.
Unajua maana ya uzinzi? Au wewe ndio Yesu aliwaambia muwe wa kwanza kurusha jiwe, mkapotea mmoja mmoja?!Unapenda uzinzi
Nakumbuka Beyonce aliwahi kuhojiwa, na akathibitisha sex is best healer when she stressed up.Stress and good sex? where they do that at?