Hivi hizi ni 'stress' gani?

Hivi hizi ni 'stress' gani?

Hahahahahahaa mm nikiwa na hassir siziiti stress naongea kwa hassira hata tusi naweza kumpa sitaangalia huyu aloniudh ana umr au rika gani huwa napungukiwa na uwezo wa kufikir na n rahis sana kusahau vitu au kupoteza
Najijua huwa napenda nikae mbali na kila mtu nikae sehem isiyo kelele na sio ndan niyafikirie yale mambo na hapo ntajifanyia counceling na kujiuliza kwa nn huyu mtu ameamua kuniudh nini nifanye kwann nifanye hilo nililofikiria baadae huwa nakuja na conclusion na kugundua kukasirika ni action inayofanyika kuonesha reaction na hupaswi kutumia hassira kuonesha hisia zako kuishinda hasira ndio silaha kubwa kupambana na anayekuudhi maana anayekuudhi hukasirika marambili akikuona unafuraha
 
Hahahahahahaa mm nikiwa na hassir siziiti stress naongea kwa hassira hata tusi naweza kumpa sitaangalia huyu aloniudh ana umr au rika gani huwa napungukiwa na uwezo wa kufikir na n rahis sana kusahau vitu au kupoteza
Najijua huwa napenda nikae mbali na kila mtu nikae sehem isiyo kelele na sio ndan niyafikirie yale mambo na hapo ntajifanyia counceling na kujiuliza kwa nn huyu mtu ameamua kuniudh nini nifanye kwann nifanye hilo nililofikiria baadae huwa nakuja na conclusion na kugundua kukasirika ni action inayofanyika kuonesha reaction na hupaswi kutumia hassira kuonesha hisia zako kuishinda hasira ndio silaha kubwa kupambana na anayekuudhi maana anayekuudhi hukasirika marambili akikuona unafuraha
maamuzi yako nadhani yako vizuri zaidi kuepuka kuongeza migogoro kwa watu wasiohusika
 
Me najifungiaga ndani cku nzima, chakula wala kinywaji hakipandagi kabisaaa, hasira zangu zinaishiaga kwenye kucklza nyimbo za dini
 
Everybody has a way of dealing with stress. I guess hiyo ndo therapy yako.
 
Mie naliaga tuu mpaka macho hayaoni kwa kuvimba, na vile Sijui kilevi basi naenda sehemu ambayo ni kimyaaaa naanza kushangaa ukuu wa Mungu!!!!
 
Unajipa stress za nin?siwezi beba matatzo ktk kichwa changu,yote natupa chini!
 
Mie nkiwa na strec route za toilet "kukata gogo" huwa zinakuwa nyingi balaa mpka najikuta strec zinapungua
 
Dah! Pole sana FL1.

Nime - experience maisha yangu yote nikiwa na stress hata kama ni nzito kiasi gani hatua ninazochukua huwa zinanishangaza baada ya stress kuisha;

1. Huwa nalia weee huku naomba mungu aniepushe na kikombe hicho kwa wakati huo,
2 . Baada ya kuchoka kulia nafanya usafi vizuri ndani ya nyumba hasa chumba changu kisha nabadilisha mashuka yote kitandani naweka chumba katika hali ua usafi zaidi,
3 . Kisha najifungia chumbani hata kama ni siku nzima nakunywa wine weee lazima niweke kwenye dressing table au kinywaji kingine ambacho ni friendly kwangu huku machozi yanaendelea kububujika mpaka napitiwa usingizi, next day nakuwa na mawazo mapya.

Ila kila nikipata stress hatua zinazojirudia ndio hizo.

Wenzangu mkiwa na stress mnafanyaje?🙁
 
huwa nachukua simu nafuta namba zote za watu walio nikera nyuma.itokee mtu kanipigia simu hahahahaha sikawii kumwambia zima moto hapa nkusaidie nini??
 
Back
Top Bottom