juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,022
Tatizo la waarabu si kwa sababu ni waarabu,bali ni kuwa wakazi wa middle east,eneo linalobeba historia na mustakabali wa binadamu.miaka mingi kabla ya waarabu kuwa jamii maarufu zilipita jamii nyingine hapo ambazo nazo mwendo ulikuwa huo huo.wayahudi nao wakaja,mwendo ukawa huo huo.leo hii ni wayahudi na waarabu.jamii hizi na ardhi wanayoikaa ni encyclopedia ya binadamu.pili,utajiri wa mafuta ni tatizo jipya katika karne hii!blame it to the one who turned oil into fuel!