Hivi hizi nchi za Kiarabu zina nini?

Status
Not open for further replies.
Jamani, mwenzenu nashindwa kuelewa. Hivi hizi inchi za Kiarabu zimekumbwa na masahibu gani? Naona kila siku ni vita za wenyewe kwa wenyewe na watu wanazidi kufa.

Yaani ukiangalia Afighanstan wanauana.
Pakistan wanauana
Siria wanauana
Egypt ndiyo usiseme! Wanauana kama kuku...hadi sasa watu karibu 800 washauana.

Jamani! Tatizo ni nini? Hizi nchi za Kiarabu zimekumbwa na maswahibu gani? Mbona wanauana kila kukicha?
Afghanistani walikua wametulia ila amerca alipovamia kwa kisingizio cha kumtafuta osama ndo alianzisha tatizo na kuwagawa wananchi wa afghan kwani kuna kundi la wamarekani na kundi la mullah omar
 
Jamani, mwenzenu nashindwa kuelewa. Hivi hizi inchi za Kiarabu zimekumbwa na masahibu gani? Naona kila siku ni vita za wenyewe kwa wenyewe na watu wanazidi kufa.

Yaani ukiangalia Afighanstan wanauana.
Pakistan wanauana
Siria wanauana
Egypt ndiyo usiseme! Wanauana kama kuku...hadi sasa watu karibu 800 washauana.

Jamani! Tatizo ni nini? Hizi nchi za Kiarabu zimekumbwa na maswahibu gani? Mbona wanauana kila kukicha?
Nchi ulizo zitaja zina watu wengi sana wenye Imani kama ya Ponda.
 
Wengi tulisheherekea Idd El Fitr kwa pilau na tende!!!
Huko Iraq ,Wasunni walilipua bomu kuwalenga WaShia na zaidi ya watu 70 walikufa.

Can you imagine,siku ya XMAS ,say walokole (Pentecost ) wawaue Wakatoliki kwa suicide bombing eti Wakatoliki sio wakristu halali.KAMWE haitatokea

Ndio mapambano yapo katika ya Wasunni ambao wanadai Washia sio Waislamu kamili.
Yaah...hii nayo ni kweli maana hata leo nimeona Iraq kuna mtu kavaa bomu na kwenda kujilipuwa kwa kifo cha wote
 
Alafu kinachonitisha na kunisikitisha mimi ni kuwa hawa jamaa hawaogopi risasi. Yaani kila wanavyopigwa ndipo wanazidi kusonga frontline
 
Alafu kinachonitisha na kunisikitisha mimi ni kuwa hawa jamaa hawaogopi risasi. Yaani kila wanavyopigwa ndipo wanazidi kusonga frontline
Wanaamini wakifa kwenye hayo mapambano basi watakuwa salama na pazuri huko tuendako wote baada ya hapa duniani.
 
Tunahitaji kujua nini chanzo au kiini cha hao watu 5 sijui 10 kufa huko middle east, halafu na huko DRC na DARFUL nako tunaweza kujadili pia hayo mauaji na ubakaji, Unapo resist kujadili huko middle east, mtu anaweza kufikiri huenda kuna special case ambayo hutaki ijulikane.
Suala sio kujilinganisha na wengine ktk maovu.
Hoja yangu hapa ni kuwa....kila siku wanawake wanakuwa gang-raped kwa mamia kama sio maelfu na waume zao wanauawa kwa mamia hata maelfu kule DRC, DARFUR etc. lakini hakuna hata anae-pay attention!
Leo hii wakifa watu 5 sijui 10 huko Middle East ni kelele tupu BBC, CNN, Al Jazeera, FOX News etc......ama sababu ni wabantu?
What a hypocrisy!!
 
case ya egypt ni ya utata sana.
Egyptians wenyewe walimtoa hosni mubarak eti sababu ni dictator. Fine.
The west preach about democracy (free & fair elections), egyptians wakafanya uchaguzi na morsi akachaguliwa.hata mwaka haujaisha eti hafai. Hakutakiwa atolewe via coup. Egyptians walitakiwa wangoje hadi next presidential elections na watu waamue kumtoa via ballot.
Imagine leo hii kikwete atolewe na jeshi via coup itakuwaje?

morsi aliondolewa kwanza kwa kuwafanyia hamas inteligence, mbili rasimu ya katiba aliyounda ilikuwa inalipeleka misri kuwa nchi ya kiislam badaye na hivyo kuwanyima wengine au kutokuwa shirikishi., tatu kujipa mamlaka kufanya lolote lile bila kushauriana au kuhojiwa na mtu yoyote, nne morsi alitoa baadhi ya siri za serikali ambazo zingelipekea amani ya mashariki ya kati kuwa hatihati hasa usalama wa israel. Siku tatu kabla ya mapinduzi uk,us, na israel walitaarifiwa na kuwapa jeshi na sis go ahead. Israel ilitakiwa kuimarisha ulinzi sehemu ya sinai.
 
Case ya Egypt ni ya utata sana.
Egyptians wenyewe walimtoa Hosni Mubarak eti sababu ni dictator. Fine.
The West preach about DEMOCRACY (FREE & FAIR ELECTIONS), Egyptians wakafanya uchaguzi na Morsi akachaguliwa.Hata mwaka haujaisha eti hafai. Hakutakiwa atolewe via coup. Egyptians walitakiwa wangoje hadi next presidential elections na watu waamue kumtoa via ballot.
Imagine leo hii Kikwete atolewe na jeshi via coup itakuwaje?
Nimekuelewa vizuri sana mkuu!. Na Syria nako vipi?
 
Wengi tulisheherekea Idd El Fitr kwa pilau na tende!!!
Huko Iraq ,Wasunni walilipua bomu kuwalenga WaShia na zaidi ya watu 70 walikufa.

Can you imagine,siku ya XMAS ,say walokole (Pentecost ) wawaue Wakatoliki kwa suicide bombing eti Wakatoliki sio wakristu halali.KAMWE haitatokea

Ndio mapambano yapo katika ya Wasunni ambao wanadai Washia sio Waislamu kamili.
Matukio kama hayo yanaenda in cycles ama na nyakati.
Kumbuka In the past Catholics na Protestants, for decades, they didn't see each other eye to eye kufikia point ya kuuana kwa saana tu in some parts of Europe kama Ireland. Who knows, may be Sunni na Shiaaties watafika point wataishi kwa amani
 
Nimekuelewa vizuri sana mkuu!. Na Syria nako vipi?
Baadhi ya wananchi hawamtaki Assad. Naye hataki kutoka. The west pia wako reluctant kuwasupport rebels sababu akiondoka Assad, ikijatokea hadithi ya Afghanistan itakuwaje? Ndio maana hata Jaluo in the white house kichwa kinamuuma
 
Matukio kama hayo yanaenda in cycles ama na nyakati.
Kumbuka In the past Catholics na Protestants, for decades, they didn't see each other eye to eye kufikia point ya kuuana kwa saana tu in some parts of Europe kama Ireland. Who knows, may be Sunni na Shiaaties watafika point wataishi kwa amani
Kwa hili mkuu umeongea busara, safiii!!
 
morsi aliondolewa kwanza kwa kuwafanyia hamas inteligence, mbili rasimu ya katiba aliyounda ilikuwa inalipeleka misri kuwa nchi ya kiislam badaye na hivyo kuwanyima wengine au kutokuwa shirikishi., tatu kujipa mamlaka kufanya lolote lile bila kushauriana au kuhojiwa na mtu yoyote, nne morsi alitoa baadhi ya siri za serikali ambazo zingelipekea amani ya mashariki ya kati kuwa hatihati hasa usalama wa israel. Siku tatu kabla ya mapinduzi uk,us, na israel walitaarifiwa na kuwapa jeshi na sis go ahead. Israel ilitakiwa kuimarisha ulinzi sehemu ya sinai.
Mmh! Patamu hapo...kweli hii ni JF ya GT
 
Baadhi ya wananchi hawamtaki Assad. Naye hataki kutoka. The west pia wako reluctant kuwasupport rebels sababu akiondoka Assad, ikijatokea hadithi ya Afghanistan itakuwaje? Ndio maana hata Jaluo in the white house kichwa kinamuuma
Yap, ni kweli, ni garama kubwa sana kwa mfano kuweka no fly zone Syria, halafu hawajui who is next in power after Assad, wanahofia extremists kushika nchi, iliwauma sana balozi wao alipouawaw Libya.
 
Jamani angalieni Aljazeera sasa hivi huko Egypti mda huu kuna helicopter inapita juu na inawamwagia risasi wananchi kama mvua. Hii imekaaje jamani?
 
Tukio la kibwetere halihalalishi tukio la huyo mvaa bomu.
Ninachomaanisha kuwa mleta mada lengo lake ni kuinanga jamii flani ambayo ni waislam, angekuwa lengo lake kuzungumzia nchi asinge bagua na kuzitaja nchi za kiarabu pekee, mbona drc hakuitaja? ndo namwambia kama anataja matukio yaliyotokea mckitn basi nami nataja yaliyotokea kanisani na mwisho wa mada kama hizi ni kuharibiana hadi kitaa, hakuna kufuta wala kudelete.
 
morsi aliondolewa kwanza kwa kuwafanyia hamas inteligence, mbili rasimu ya katiba aliyounda ilikuwa inalipeleka misri kuwa nchi ya kiislam badaye na hivyo kuwanyima wengine au kutokuwa shirikishi., tatu kujipa mamlaka kufanya lolote lile bila kushauriana au kuhojiwa na mtu yoyote, nne morsi alitoa baadhi ya siri za serikali ambazo zingelipekea amani ya mashariki ya kati kuwa hatihati hasa usalama wa israel. Siku tatu kabla ya mapinduzi uk,us, na israel walitaarifiwa na kuwapa jeshi na sis go ahead. Israel ilitakiwa kuimarisha ulinzi sehemu ya sinai.
Of course aliyokuwa anataka kuyafanya huyo Morsi perhaps haikuwa ni jambo ambalo lingekuwa fair kwa all Egyptians. Kumbuka kuna so many ethic and religious groups in Egypt, and therefore kuwalazimisha watu wote wafuate itikadi yako ya kisiasa ama kidini italeta shida kwenye taifa lolote lile dunia hii na sio Egypt pekee, hata Tanzania. Unless hiyo nchi iwe 99% muslims kama Saudia mfano, ama 99 % catholics kama Argentina.
Haikuwa busara ya kumwondoa Morsi via coup. Hapo ndio utata unapokuja. Kisheria Morsi bado ni rais wa Egypt. Morsi's supporters wnayo haki ya kuandamana na kupinga coup
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom