mama chupaki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 940
- 759
Siyo chui siyo simbaNgozi yake inatosha kujigamba
Siyo chui siyo simbaNgozi yake inatosha kujigamba
We Rasta never fail, if you win us we fight againsion cha ajabu mkuu zaidi ya kuimba kufoka@reggae is.my own lovel music forever
Mbn mm ni kambabu lkn umenibamba?Kwanza waangalie aina ya watu wanaoupenda uo mwimbo.
Ina TV ndani
Yaani huwa sio mshirika wa haya manyimbo ya kipindi ILA HUYU DOGO wa MUZIKI kanigusa kwa kweli, WIMBO HATA CLUD ni danceableUmeota mapembe uongezewe mkia ?
Mmmhhhhhh itakuwa una sababu binafsi ila ina ujumbe mkubwa saaaaanaLinyimbo la hovyo kabisa sijawahi kuona. Watu utadhani wamerogwa waipende ila mm walaaaa
Aache maneno AWEKE MUZIKIMmmhhhhhh itakuwa una sababu binafsi ila ina ujumbe mkubwa saaaaana
Na ukibip tunakupigiaBlabla sitaku kusikia
Bahati nzuri huu wimbo unapendwa na watu wa AINA ZOTE!Kwanza waangalie aina ya watu wanaoupenda uo mwimbo.