comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,331
- 16,856
- Thread starter
- #41
ReverseNchi ngumu sana hii ndo maana badala ya kwenda mbele inarudi nyuma.
ReverseNchi ngumu sana hii ndo maana badala ya kwenda mbele inarudi nyuma.
Mimi sasa. Nimetoa oda wanichemshie Ile yenye mafuta na ndizi ili ikapambane na pombe kaliHapo sasa jikon kuwe na oda ya mdudu na ndizi.....
HapanaUjekutusumbua uzeeni, na kuacha laana zisizo na msingi
SawaHapo haunywi pombe unakunywa sumu.
naona….!Hapana, nakula njiwa
Ilikua mwanzo hapo, sasahivi nimeingia VIP huku sasa ndio tunakutana na bwana lucifa live mnabadilishana mawazonaona….!
Ni vice versa mkuu naona uko moto bati huelewi😂Reverse
Ntaelewa keahoNi vice versa mkuu naona uko moto bati huelewi😂
msalimie bro lucifer.Ilikua mwanzo hapo, sasahivi nimeingia VIP huku sasa ndio tunakutana na bwana lucifa live mnabadilishana mawazo
Kama umejiajiri na unatumia muda kwa mtindo huu...baasi tunasubiri muda uongee.Self employed
Kuna mzee mmoja alikua anafanyiwa the same. Vyanzo VYANGU vya habari vimenithibitishia kabisaa.Kikubwa ata dendwa dendwa na kunyonywa kendeeee hadi akojoe.. kwakwe fresh
Mkuu'Kama umejiajiri na unatumia muda kwa mtindo huu...baasi tunasubiri muda uongee.
Meza chafu , mazingira ya hovyo , pombe yenyewe chafu, hapo lazima kuna harufu ya choo , ikitokea pembeni, huku sio kula bata ni kutesekaKwahiyo mwanetu hapo unakula bata?
Mimi sasa. Nimetoa oda wanichemshie Ile yenye mafuta na ndizi ili ikapambane na pombe kali
Meza chafu , mazingira ya hovyo , pombe yenyewe chafu, hapo lazima kuna harufu ya choo , ikitokea pembeni, huku sio kula bata ni kuteseka
Tulia hebu! 🤣Meza chafu , mazingira ya hovyo , pombe yenyewe chafu, hapo lazima kuna harufu ya choo , ikitokea pembeni, huku sio kula bata ni kuteseka
Unatuwakilisha vyema kabisa kabisa kabisaIlikua mwanzo hapo, sasahivi nimeingia VIP huku sasa ndio tunakutana na bwana lucifa live mnabadilishana mawazo
Hivi kwanza kuna Taifa.Taifa lipi?
Kaka ndege, naona nasaha kwa vijana unawapatia za kutosha tatizo ni konyagiiii/ kvant imesha shika hataku KICHWANI mwa ndugu mtembeza Rungu.Mshahara ukishaingia ndiyo tabia zako. Baada ya siku mbili hao mademu huwapati tena unaishia kupiga nyeto pale ofisini kwenye korido.