Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
======
KUHUSU MKATABA WA BANDARI YA DAR ES SALAAM NA DUBAI PORT (DP WORLD)
Kumekuwa na mjadala unaoendelea nchini Tanzania tangu 2022 na ukapamba moto 2023 kufuatia hatua ya Serikali kuingia makubaliano na ukodishaji wa bandari ya Dar es Salaam na kampuni moja ya kimataifa ifahamikayo DP World ya Dubai.
Mjadala huo unahoji mazingira ya mkataba huo pamoja na vipengele vilivyomo huku baadhi wakionya kuhusu hali hiyo.
Mjadala huo umeyavutia makundi ya aina mbalimbali kuanzia ndani ya watendaji wa serikali, Wabunge pamoja na wale wapembeni wanaoonyesha ukosoaji wa waziwazi.
Habari zinaonyesha kuwa serikali ya Tanzania kupitia mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini TPA, imeanzisha majadiliano na kampuni ya usafirishaji mizigo ya Dubai Port ( DP World) inayomilikiwa na serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu kwa ajili ya kuendesha bandari zote zilizoko nchini.
Licha ya mamlaka ya bandari nchini kufafanua kuwa hakuna mkataba wowote uliosainiwa baina ya pande hizo mbili, hata hivyo wale wanaohoji wanasema kitendo cha serikali kuwahisha kupeleka bungeni azimio la kuanzisha majadiliano hayo linazidisha wasiwasi kuhusu yale yanayoweza kufikiwa kwenye mkataba huo.
Tangu Mwanzoni Mwaka 2022, Habari zilianza kuenea Mitandaoni hasa JamiiForums kwamba Bandari ya Dar Es Salaam imeuzwa kwa Muwekezaji kutoka Dubai(Bandari ya Dar imeuzwa kwa Mwarabu), japo Mara ya kwanza zilianzwa kukanushwa hadi Mkataba ulipo vuja.
Hapa Chini nimeambatanisha baadhi ya Mijadala iliyojadiliwa ndani ya JamiiFrums kuhusu Mjadala wa bandari ya Dar ES Salaam na DP World.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
======
KUHUSU MKATABA WA BANDARI YA DAR ES SALAAM NA DUBAI PORT (DP WORLD)
Kumekuwa na mjadala unaoendelea nchini Tanzania tangu 2022 na ukapamba moto 2023 kufuatia hatua ya Serikali kuingia makubaliano na ukodishaji wa bandari ya Dar es Salaam na kampuni moja ya kimataifa ifahamikayo DP World ya Dubai.
Mjadala huo unahoji mazingira ya mkataba huo pamoja na vipengele vilivyomo huku baadhi wakionya kuhusu hali hiyo.
Mjadala huo umeyavutia makundi ya aina mbalimbali kuanzia ndani ya watendaji wa serikali, Wabunge pamoja na wale wapembeni wanaoonyesha ukosoaji wa waziwazi.
Habari zinaonyesha kuwa serikali ya Tanzania kupitia mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini TPA, imeanzisha majadiliano na kampuni ya usafirishaji mizigo ya Dubai Port ( DP World) inayomilikiwa na serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu kwa ajili ya kuendesha bandari zote zilizoko nchini.
Licha ya mamlaka ya bandari nchini kufafanua kuwa hakuna mkataba wowote uliosainiwa baina ya pande hizo mbili, hata hivyo wale wanaohoji wanasema kitendo cha serikali kuwahisha kupeleka bungeni azimio la kuanzisha majadiliano hayo linazidisha wasiwasi kuhusu yale yanayoweza kufikiwa kwenye mkataba huo.
Tangu Mwanzoni Mwaka 2022, Habari zilianza kuenea Mitandaoni hasa JamiiForums kwamba Bandari ya Dar Es Salaam imeuzwa kwa Muwekezaji kutoka Dubai(Bandari ya Dar imeuzwa kwa Mwarabu), japo Mara ya kwanza zilianzwa kukanushwa hadi Mkataba ulipo vuja.
Hapa Chini nimeambatanisha baadhi ya Mijadala iliyojadiliwa ndani ya JamiiFrums kuhusu Mjadala wa bandari ya Dar ES Salaam na DP World.
- Rais Samia: Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
- Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima
- Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa
- Uchambuzi wa mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi Bandari Tanzania na DP WORLD
- Mkataba wa Bandari: Diaspora Waandamana kupinga Mkataba wa Bandari leo Agosti 18, 2023 London
- Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari
- Maandamano makubwa ya Amani kupinga DP World kufanyika Julai 22
- Askofu Bagonza: Wanasheria wetu Ujanja wao unaishia Kisutu, na Wachumi wetu Ujanja wao unaishia Kariakoo, Mkataba wa Bandari hawauelewi
- BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke
- Vijana kufanya Maandamano kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai
- Wakili Mwabukusi: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu
- Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi
- Serikali yatumia nguvu kubwa ya Polisi kutaka kuzuia kongamano la wananchi la kupinga mkataba wa bandari
- Tulikamatwa kinyume na sheria kwa sababu za kisiasa na tukaachiwa kisiasa
- Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa | JamiiForums
- Dkt. Slaa: Nitaendelea kusema ninachoamini, asema hajutii kuondolewa hadhi ya balozi
- Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi
- Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World
- Hatma ya Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude bado Giza Totoro
- Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
- Freeman Mbowe: Tunazindua "Operation +255 Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu" kuwaambia watanzania ubaya wa Mkataba wa DP World
- Arusha: Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT - Agosti 21, 2023
- Askofu: JamiiForums pekee ndio wameripoti Waraka wa TEC kwa Weledi
- CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari
- Uchambuzi wa TLS kuhusu Mkataba wa Bandari, ipatikane nakala ya Kiswahili
- Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?
- Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai
- Wanazuoni watoa tamko: Bandari ni mali za Watanzania wote hatuna wanahisa na hatuhitaji wanahisa
- Rais TLS: Huwezi kutuita ghafla kutoa maoni kuhusu Bandari, sisi sio Waganga wa Kienyeji
- Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi
- Viongozi wa Dini wanazungumza na Serikali kuhusu Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai
- Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili
- Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu
- Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!
- Baada ya kulitafakari sakata la DP World, nimegundua kuwa waislam walikuwa sahihi
- Bunge lakaribisha maoni, kuhusu mapendekezo ya kuridhia makubaliano mkataba kati ya Tanzania na kampuni ya Saudia kuendesha bandari Dar es Salaam
- Maoni ya Kamati Kuhusu Azimio la Bunge Kuridhia Makubaliano Kati ya Tanzania na Dubai Kuhusu Ushirikiano wa Uendelezaji na Uboreshaji Bandari Tanzania
- Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo
- DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
- Uchambuzi wa mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi Bandari Tanzania na DP WORLD
- Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato
- Mkazi wa Songea amuandikia barua Spika wa Bunge kupinga bandari kuuzwa
- Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
- Sakata la Bandari: Tunafungua Shauri Mahakama Kuu kwa Hati ya Dharura
- Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma
- Mbeya: Hukumu ya kesi ya kupinga Mkataba wa Bandari yaahirishwa, sasa kusomwa Alhamis 10/8/2023
- Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu
- Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
- Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
- Prof Mbarawa: Kwa sasa Bandari inachangia 37% ya Bajeti ya Nchi lakini DP World atatufikisha kwenye 67% hivyo ondoeni Wasiwasi!
- Waziri Mbarawa ataja sababu za kubinafsisha bandari zetu kwa wageni