Mitaa yangu ya kujidai hii, karibu DodomaWee unakufahamu sasa??
Mitaa yangu ya kujidai hii, karibu DodomaWee unakufahamu sasa??
Ongezea West ni hatariHapo sawaa changombe na nkuhungu
Em nipeleke sasa huko Dom.Mitaa yangu ya kujidai hii, karibu Dodoma
Brother umenikumbusha Chaduru tulikuwa tunatoka Makole kwenda kula Ukoko wa Wali sh 200 aisee 😂😂 maisha yanakwenda kasiChaduru na zilipo ofisi za tume ya uchaguzi njendegwa
Karibu sana,Em nipeleke sasa huko Dom.
Mkuu naomba tuchat privateMitaa yangu ya kujidai hii, karibu Dodoma
Nasikia Dodoma kuna vumbi moja la hatari linalosababisha wakazi wake wengi kuumwa macho. Yaani kimsingi Dodoma ni jangwa ndio maana Samia muda wote yupo Magogoni au Tunguu lakini sio jangwan Chamwino.Nimeangalia video nyingi za Dodoma sijawahi kuona mazingira ya uswazi
Ukizingatia jiji la Dodoma lina population sawa na jiji la Mbeya lakini Mbeya uswazi upo wa kutosha ukiangalia aerial view. Ni wewe tu, mitaa iko kibao hata tunaweza kuorodhesha
Ila Dodoma inanishangaza
Wakazi wa Dodoma, huko Dodoma kwani hakuna slums?
Unatumia kilevi au bangi ya wapi?Hadhi ya Dodoma ni NewYork