Hivi Dodoma kuna uswazi kweli?

Hivi Dodoma kuna uswazi kweli?

Nimeangalia video nyingi za Dodoma sijawahi kuona mazingira ya uswazi

Ukizingatia jiji la Dodoma lina population sawa na jiji la Mbeya lakini Mbeya uswazi upo wa kutosha ukiangalia aerial view. Ni wewe tu, mitaa iko kibao hata tunaweza kuorodhesha

Ila Dodoma inanishangaza

Wakazi wa Dodoma, huko Dodoma kwani hakuna slums?

JIchanganye changombe ukione?
 
Nimeangalia video nyingi za Dodoma sijawahi kuona mazingira ya uswazi

Ukizingatia jiji la Dodoma lina population sawa na jiji la Mbeya lakini Mbeya uswazi upo wa kutosha ukiangalia aerial view. Ni wewe tu, mitaa iko kibao hata tunaweza kuorodhesha

Ila Dodoma inanishangaza

Wakazi wa Dodoma, huko Dodoma kwani hakuna slums?
Uswazi yao ndio hawa wamekuja kuomba omba Dar es salaam,
 
Back
Top Bottom