Hivi CHADEMA wamemuelewa kweli Rais wetu? Kwamba hicho wanachozunguka kukihubiri ni ukiukaji wa malengo ya kuruhusu mikutano ya hadhara

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
 
Cha ajabu chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.
Acha inyeshe tujue panapovuja.

Yeye si alimuona mtangulizi wake kama dikteta alipozuia mikutano ya hadhara?

Tena mwambie asitumie dini kukataza watu kutoa maoni yao.

Tulishaambiwa tusichanganye dini na siasa.
 
Duniani kote upinzani unaikosoa serikali, kama SSH anategemea vyama vya upinzani watangaze sera zao bila kukosoa mapungufu ya serikali iliyopo madarakani basi nayeye anaviashiria vya udikteta.
Kukosoa mapungufu ya serikali hakukatazwi kwa mtu yeyote yule. Hawa chadema hawakosoi serikali bali wanaishinikiza serikali ifanye kile ambacho chadema wanataka, laa sivyo wanakiwasha ndani na duniani kote.

Chadema hawatangazi sera yao ya chama ya utawala wa majimbo. Wanajua sera yao hiyo ya utawala wa majimbo haina mashiko kwa watanzania.
 
Magufuli alikuwa Dikteta.
Haujui maana ya Dikteta. Umekaririshwa na hao jamaa zako akina Tundu Lissu. Umekalilishwa kwamba unataka katiba mpya bila kuoneshwa na kuisoma hiyo katiba mpya unayoitaka na kuilinganisha na hii tuliyonayo. Kama siyo kasuku, wewe tukuitaje?
 
Kukosoa mapungufu ya serikali hakukatazwi kwa mtu yeyote yule. Hawa chadema hawakosoi serikali bali wanaishinikiza serikali ifanye kile ambacho chadema wanataka, laa sivyo wanakiwasha ndani na duniani kote. Chadema hawatangazi sera yao ya chama ya utawala wa majimbo. Wanajua sera yao hiyo ya utawala wa majimbo haina mashiko kwa watanzania.
Naona unawapangia nini cha kusema. Hiyo kazi mpatieni Zitto ndio anaiweza sio CHADEMA
Bongo unafki gunia, chawa behind the scenes wanakikubali kile kichwa kilichokataa kufa kwa matakwa ya kurasa 303 wanadai kina spana malaya hakuna bolt iliyolegea itabaki salama
 
Aisee

images - 2023-08-28T231729.884.jpeg
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Mjinga wewe. Toa uharo wako wa kipumbavu. Huijui siasa wala majukumu ya vyama vya siasa. Funga bakuli lako.
 
Haujui maana ya Dikteta. Umekaririshwa na hao jamaa zako akina Tundu Lissu. Umekalilishwa kwamba unataka katiba mpya bila kuoneshwa na kuisoma hiyo katiba mpya unayoitaka na kuilinganisha na hii tuliyonayo. Kama siyo kasuku, wewe tukuitaje?
Mbona unaongea kwa asila kulikoni, umelipwa leo nini? DPw vp wanakuja?
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Ulitakiwa kudanganya kipindi ambapo mambo ya dunia hayakuwa wazi. Tunafuatilia siasa kote ulimwenguni vyama vya siasa vinasemana. Wanasiasa wanasemwa na madhaifu na matendo yao maovu yasemwa waziwazi tena hadharani. Ndiyo siasa zenyewe uwanja wenye mtifuano mzito. Unapiga mtu na kitu kizito kwenye siasa unapigwa na hoja nzito zaidi hadi kieleweke. Tuendelee!
 
Back
Top Bottom