Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Tunasimamia mambo makubwa manne:

1. Matusi. Kama huamini basi subiri uone tutakavyokufanya kwenye huu uzi wako.

2. Ukabila. Kamanda wetu mkuu [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] alituanzishia chuki dhidi ya wasukuma kwa kuwa Magu ni wa huko, kwa hiyo tunafuata maono ya kiongozi wetu.

3. Kupinga kila kitu. Huo ndo mtazamo wetu km chama - big NO to everything.

4. Kutetea kitu chochote kilicho kinyume na sheria na matakwa ya serikali na uongozi wa nchi. Tunatetea wala rushwa, mafisadi, wauza 'sembe', wakwepa kodi, nk.
Sema jingine.
Nimecheka kama mazuri vile......
 
Hata kipeperushi chao kinachoitwa Tanzania Daima kwa sasa kimekosa hata propaganda kwa sababu kinashindwa kumuunge mkono yupi.

Lowassa amekuwa mzigo.

Mbowe hana mbinu kwa sababu uwezo wake umefika mwisho

Kamati Kuu haina kiongozi mkuu. Katiba inamtambua Mbowe lakini wanachama wanajua Lowassa ndiye mwenye sauti ya mwisho ndani ya chama

Chama kwa sasa kina ofisi kuu mbili. Ufipa na Mikocheni

Mwenezi wa CHADEMA ambaye ni Kimambi hamtaki Lowassa kwa sababu ya kuogopa kula matapishi yake ya Uchaguzi Mkuu 2015 wakati huo huo hawawezi kumlipa Lowasaa pesa yake ili awaachie chama.

Makene kazi yake imechukuliwa na vijana wa Lowassa.

Hoja ya ufisadi waliuza kwa CCM baada ya Lowassa na genge lake kununua nafasi ya kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Kwa sasa ni vulugu tupu!
Joka linapoingia ndani ya uvungu wa nyumba hakuna jambo lingine litakalofanyika, hakuna kupika, kuoga wala kula, agenda inabaki kuhakikisha joka linaondoka na kuiacha nyumba salama
 
Inasimamia upakuaji na upakiaji wa macontena bandarini hasa makontena yenye mchanga wa makinikia, pumbavu ukishajua inasimamia nini wewe inakusaidia nini kamuulize malaika anasimmia nini kwa sasa kati ya vile alivyo ahidi kwenye kampeni akishakujibu uturetee mrejesho uku nasi tujue kama kuua upinzani na viongozi wa upinzani ilikuwa ni moja ya ajenda zake kwenye kampeni
Hoja ya kusimamia matusi imepata uthibitisho tayari, bado zingine....
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Umewapiga utosini
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Hilo ni kundi la kihuni.wala usiteseke kulifuatilia sana..
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Inasimamia Kichwa.
 
inasimamia kucha kuhakikisha nchi inarudi kwenye misingi yake hasa haki.
 
Napenda watu wanaoijadili serikali kuliko kuijadili chadema na ccm. Maana nchi na watu wake wako hoi..
Huwa namsikiliza sana Mh Rais nikijua anamaanisha. Kumbe ni mwigizaji wa kiwango cha Hollywood.

Siku Airtel ikirudishwa mikononi mwa TTCL ntamwamini JPM. Tofauti na hapo aache kutuigizia
Mara vichwa vya treni havina mwenyewe. Mara tumezungumza na mwenyewe kakubali kutuuzia kwa bei chee..
Kulaleki....!!
 
Inaongozwa na Wananchi wazalendo... Ukiona Polisi wanasimamia kuiba sanduku la kura na kutumia risasi za moto ujue wananchi wameshika hatamu!
 
hahahaha kiongozi wao ni Da Mange...na Mashiji ametumwa USA kwenda kuchukua muongozo kwa Da Mange...
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Wanasimamia miguu
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Hahahahha umenichekesha..Mange pia yumo..hata hivyo bwana Lema sasa hivi ndio mwenyekiti mwenza wanayemtegemea..Mbowee kachoka sana.hatayeye anakiri kabisa hatoshi kikombe kile..ana bwatuka bwatuka bila mpango. Mara oohh anataka Tanzania iwe kama Misri na Libya...khaaaa...!! Haya ndio wanayosimamia sasa..wanataka watu wapigane kama nchi hizo..ni ajabu kwa upinzani kusimamia haya..ni uhaini na nawaambia ningekuwa mimi Rais..walahi ni kesi ya uhaini hii.
 
Back
Top Bottom