Tunasimamia mambo makubwa manne:
1. Matusi. Kama huamini basi subiri uone tutakavyokufanya kwenye huu uzi wako.
2. Ukabila. Kamanda wetu mkuu [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] alituanzishia chuki dhidi ya wasukuma kwa kuwa Magu ni wa huko, kwa hiyo tunafuata maono ya kiongozi wetu.
3. Kupinga kila kitu. Huo ndo mtazamo wetu km chama - big NO to everything.
4. Kutetea kitu chochote kilicho kinyume na sheria na matakwa ya serikali na uongozi wa nchi. Tunatetea wala rushwa, mafisadi, wauza 'sembe', wakwepa kodi, nk.
Sema jingine.