Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Hivi CHADEMA siku hizi inasimamia nini?

Tunasimamia mambo makubwa manne:
1. Matusi. Kama huamini basi subiri uone tutakavyokufanya kwenye huu uzi wako.
2. Ukabila. Kamanda wetu mkuu [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] alituanzishia chuki dhidi ya wasukuma kwa kuwa Magu ni wa huko, kwa hiyo tunafuata maono ya kiongozi wetu.
3. Kupinga kila kitu. Huo ndo mtazamo wetu km chama - big NO to everything.
4. Kutetea kitu chochote kilicho kinyume na sheria na matakwa ya serikali na uongozi wa nchi. Tunatetea wala rushwa, mafisadi, wauza 'sembe', wakwepa kodi, nk.
Sema jingine.
Hahahahaha

Umetisha mkuu
 
Hata kipeperushi chao kinachoitwa Tanzania Daima kwa sasa kimekosa hata propaganda kwa sababu kinashindwa kumuunge mkono yupi.

Lowassa amekuwa mzigo.

Mbowe hana mbinu kwa sababu uwezo wake umefika mwisho

Kamati Kuu haina kiongozi mkuu. Katiba inamtambua Mbowe lakini wanachama wanajua Lowassa ndiye mwenye sauti ya mwisho ndani ya chama

Chama kwa sasa kina ofisi kuu mbili. Ufipa na Mikocheni

Mwenezi wa CHADEMA ambaye ni Kimambi hamtaki Lowassa kwa sababu ya kuogopa kula matapishi yake ya Uchaguzi Mkuu 2015 wakati huo huo hawawezi kumlipa Lowasaa pesa yake ili awaachie chama.

Makene kazi yake imechukuliwa na vijana wa Lowassa.

Hoja ya ufisadi waliuza kwa CCM baada ya Lowassa na genge lake kununua nafasi ya kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Kwa sasa ni vulugu tupu!
 
Tunasimamia mambo makubwa manne:
1. Matusi. Kama huamini basi subiri uone tutakavyokufanya kwenye huu uzi wako.
2. Ukabila. Kamanda wetu mkuu [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] alituanzishia chuki dhidi ya wasukuma kwa kuwa Magu ni wa huko, kwa hiyo tunafuata maono ya kiongozi wetu.
3. Kupinga kila kitu. Huo ndo mtazamo wetu km chama - big NO to everything.
4. Kutetea kitu chochote kilicho kinyume na sheria na matakwa ya serikali na uongozi wa nchi. Tunatetea wala rushwa, mafisadi, wauza 'sembe', wakwepa kodi, nk.
Sema jingine.
Kaaazi kweli kweli
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Anza kwa kueleza were binafsi umesaidia vipi kuhakikisha wananchi hawauawi, kutekwa, kuteswa, kufungwa bila hukumu na maovu mengine mengi yanayofanywa na watu wasiojulikana. Ukianza hivyo mjadala utakuwa wa pande mbili hivyo utanoga, umeanzisha hoja kisha umeifunga.
 
Inasimamia upakuaji na upakiaji wa macontena bandarini hasa makontena yenye mchanga wa makinikia, ukishajua inasimamia nini wewe inakusaidia nini kamuulize malaika anasimmia nini kwa sasa kati ya vile alivyoahidi kwenye kampeni akishakujibu uturetee mrejesho uku nasi tujue kama kuua upinzani na viongozi wa upinzani ilikuwa ni moja ya ajenda zake kwenye kampeni
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Kiongozi wetu ni Kamanda Mbowe. Tunasimamia uwepo wa katiba mpya, demokrasia ya kweli inayozingatia uhuru wa mtu mmoja mmoja, vikundi vya watu wenye malengo yanayofanana, vyama vya siasa, uhuru wa vyombo vya habari, haki za binadamu na uchumi shirikishi.
 
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?

Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.

Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.

Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!

Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.

Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?

Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?

Bure kabisa nyinyi.
Mkuu kwani mtu anaweza kusimamia kitu gani tofauti na miguu? Tusiharibiane siku asubuhi hii
 
Back
Top Bottom