Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,079
- 9,245
Makamanda wamelost siku hizi
Ni kweli!
Makamanda wamelost siku hizi
Hiyo kazi ya polis na vyombovya usalamaAnza kwa kueleza were binafsi umesaidia vipi kuhakikisha wananchi hawauawi, kutekwa, kuteswa, kufungwa bila hukumu na maovu mengine mengi yanayofanywa na watu wasiojulikana. Ukianza hivyo mjadala utakuwa wa pande mbili hivyo utanoga, umeanzisha hoja kisha umeifunga.
Kamu dauni bob hasira za nnwewe unauliza kama nani ? nenda kwenye ofisi zao utapewa muongozo wote, kuanzia katiba , sera n.k. pumbafffff
ccm imelost inatumia mapanga kutulazimisha tuiamini kudadadadeki naona sasa mna kiwanda cha nyama za wapinzani raisi wenu amefeli kabisawamelost tuachane nao.
Unazungumzia machafuko gani, haya ya watu kutekwa na kuuawa kisha kufungwa kwenye viroba. Mie naona tayari kuna machafuki, hatujawahi kukutana na mazingira haya kama ya Rwanda.Wanasimamia agenda ya Kutaka kuchafua amani ya nchi..!!
Bado najiuliza hio demokrasia ndio itapatikana baada ya kuliingiza taifa katika machafuko..??
Waliokaa chini na kuhitimisha njia pekee ya kulikomboa hili taifa ni kuhamasisha uhaini, wanahitaji kupimwa akili..!!
Tungekuwa tunatetea wala rushwa tungekuwa tunaisupport CCM, maana ndio author wa rushwa, ufisadi, uuaji na umaskini hapa nchini.Tunasimamia mambo makubwa manne:
1. Matusi. Kama huamini basi subiri uone tutakavyokufanya kwenye huu uzi wako.
2. Ukabila. Kamanda wetu mkuu [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] alituanzishia chuki dhidi ya wasukuma kwa kuwa Magu ni wa huko, kwa hiyo tunafuata maono ya kiongozi wetu.
3. Kupinga kila kitu. Huo ndo mtazamo wetu km chama - big NO to everything.
4. Kutetea kitu chochote kilicho kinyume na sheria na matakwa ya serikali na uongozi wa nchi. Tunatetea wala rushwa, mafisadi, wauza 'sembe', wakwepa kodi, nk.
Sema jingine.
No wanasimamia utekaji na mauaji na kisha kutoa kafara kwa miungu yao iliyopo baharini ili waendelee kutawalaWanasimamia matukio,umbeya na maandamano uchwara.
Unapambana na chama au una pambana nahali ya nchi?Makamanda wamelost siku hizi
Wasomi kama nyie msio na msaada na nchi niwa kupiga pyupyu afu tuna anzisha taifa lenye uelewa.Kaandamane wewe.
Ukikosana na pastor au shehe siyo chanzo chakuikana imani baki kwenye ukweli wewe.Kaandamane wewe.
Hata ule ambao wasimamizi ni makada wa chama, na ambao wanagoma hata kutoa barua za utambulisho wa mawakala wa CHADEMA wakiamini kuwa wana jeshi la polisi nyuma yao.Uchaguzi wa SIHA?
Hawa wanaojiita chama kikuu cha upinzani siku hizi wanasimamia nini?
Manake naona wapo wapo tu. Hawaeleweki.
Eti wanampinga Magufuli kwa wanachodai ni 'udikteta' wake halafu wanamuunga mkono Uhuru Kenyatta kisa tu eti Raila Odinga ni rafiki wa Magufuli.
Halafu hapo hapo mambo wanayompingia Magufuli huyo Kenyatta naye anayafanya!
Si ajabu kama Magufuli angekuwa ni rafiki na Kizza Besigye CHADEMA nao wangemuunga mkono Museveni.
Sasa hivi hata haijulikani nani anakiongoza hicho chama. Ni Mange? Mbowe? Mashinji? Sugu? Lema? Lowassa? Sumaye? Nyalandu?
Nyie makamanda, nani kiongozi wenu siku hizi?
Bure kabisa nyinyi.
Mange ni taasisi kiboko hasa, watu hawalaliKuna tetesi mke wa nyalandu nae anataka uongozi kwanini mumewe mwenye share nyingi baada ya lowassa asipewe shavu apewe mange asietoa chochote!