Hivi Cartoons kwa watoto tu?

Hivi Cartoons kwa watoto tu?

hehehe turbo pale inaisha nilimhurumiaje,pale ile gamba lake lilipoungua mpaka ikbidi ajikunje tu,aisee acha tu yaani inasisimua sana
Yeah kung fu panda is hilarious too...nataka tukaangalie PLANES kesho but nahisi itakuwa boring....
 
Napenda movie animations zaidi ya cartoons...katuni pekee ninayoipenda labda ni Tommy n' Jerry maana huwa yaniondolea stress.

Nimeshaangalia animations nyingi hadi nyingine nimezisahau ila nizikumbukazo zilizonikosha ni Surf's Up, Kung Fu Panda zote, How to Train Your Dragon, Up, Ratatouille (panya chef lol), Ice Age zote na Madagascar zote (hapa namkumbuka Motomoto hahah)...
Aisee animations huwa zinavutia sana,kung fu panda ni nzuri,halafu hiyo Ratatouille nzuri pia,jamaa mpishi balaa
 
Yeah kung fu panda is hilarious too...nataka tukaangalie PLANES kesho but nahisi itakuwa boring....
Planes bado sijaangalia.
Ushaangalia Alice in wonderland?
 
Planes bado sijaangalia.
Ushaangalia Alice in wonderland?
Yeah imetulia!ha ha ha kwenye madagaskar i like to move it,move it x3,I like to MOVE IT!!!napenda wakianza kuyarudi lol!
 
Napenda movie animations zaidi ya cartoons...katuni pekee ninayoipenda labda ni Tommy n' Jerry maana huwa yaniondolea stress.

Nimeshaangalia animations nyingi hadi nyingine nimezisahau ila nizikumbukazo zilizonikosha ni Surf's Up, Kung Fu Panda zote, How to Train Your Dragon, Up, Ratatouille (panya chef lol), Ice Age zote na Madagascar zote (hapa namkumbuka Motomoto hahah)...

Mimi Dr hata niwe na miaka 70.......katuni is zea tu stei.......kama happy feet 2.....smurfs.......rio.......Jango..etc....na sasa natafuta planes......bado haijatua kwenye himaya yangu......vitu kama kina Ben10 and co.......hizo hapana.......ila Tom and Jerry hunitoi kwenye screen........
 
Mimi Dr hata niwe na miaka 70.......katuni is zea tu stei.......kama happy feet 2.....smurfs.......rio.......Jango..etc....na sasa natafuta planes......bado haijatua kwenye himaya yangu......vitu kama kina Ben10 and co.......hizo hapana.......ila Tom and Jerry hunitoi kwenye screen........
halafu hiyo Ben10 sijui watoto wanafagilia nini,kwa upande wangu haijanivutia
 
Huu ndio ugonjwa wangu sekta hii
 

Attachments

  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    8.2 KB · Views: 86
  • images (3).jpg
    images (3).jpg
    7.5 KB · Views: 86
Mimi Dr hata niwe na miaka 70.......katuni is zea tu stei.......kama happy feet 2.....smurfs.......rio.......Jango..etc....na sasa natafuta planes......bado haijatua kwenye himaya yangu......vitu kama kina Ben10 and co.......hizo hapana.......ila Tom and Jerry hunitoi kwenye screen........
Smurfs was nice aisee....I like CROODS it was so funny lol...EPIC niliipenda pia!!
 
Mimi Dr hata niwe na miaka 70.......katuni is zea tu stei.......kama happy feet 2.....smurfs.......rio.......Jango..etc....na sasa natafuta planes......bado haijatua kwenye himaya yangu......vitu kama kina Ben10 and co.......hizo hapana.......ila Tom and Jerry hunitoi kwenye screen........

Hahaha Dr hapana chezeya Rio teh teh teh....ila haya makitu bana mimi huwa nawapa sana credits watengenezaji wake....Dr itafute Despicable Me 2 ndio habari ya mujini sasa...
 
Back
Top Bottom