Hivi bado upingwaji wa jitihada za Rais unaendelea?

Kwa njia gani. Hata ktk daladala watu wamekuwa mabubu. Kwani hiyo yote ni sawa
Mabubu ulitaka waongee nini, na huo ububu ww umeuona kwenye nn, au ulitaka wapotoshaji wapate nafas ya kuendelea kupotosha wananchi huku wakiachwa watambe? Najua ulichotaka waseme na mm naunga mkono kuzuiwa kisisemwe, bila hivo nchi haiwez kwenda yaan mtu kila siku anapayuka na kuropoka mabaya tu kana kwamba hakuna zuri hata moja lililofanywa na Serikali.
 
Binafsi nimekuwa nikishangazwa sana na baadhi ya watu wanaopiga kelele na kupinga pinga tu kwa kile kinachofanywa na Serikali hii ya sasa chini ya rais wetu amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mh. Dk. JPM,

Hivi tulikuwa tunahitaji kiongozi wa aina gani tofauti na huyu rais tuliyenaye? Sipati jibu hasa kwa hawa watanzania wenzangu ninaowaona wakitokwa misuli ya shingo kubishia na kupinga kile kinachofanywa na rais wetu.

Zimekuwa zikitafutwa sababu za kipuuzi na zisizo na mashiko zenye mlengo wa kuchochea wananchi wapinge juhudi zinazofanywa na serikali lakini kwa umadhubuti wa Serikali na kutowajali wapiga kelele hao wamejikuta wako wenyewe na wananchi wamewapuuza na kuwaona ni wapiga domo tu, kama wanapinga kinachofanywa sasa hivi je walitaka kifanyweje na kwa ubora upi.

Juhudi za rais ziungwe mkono na kila raia wa Tanzania pasipo kujali chama, dini, ukanda ukabila, n.k . Tuungane kuijenga nchi kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo. Tutaumia kwa sasa ila maumivu yakizidi ndivyo neema inakaribia.

.............. Wako katika kazi...........

Kalenga kidamali

Tusipo msifu tutavunjiwa nyumba zetu. MSIFU ILI TUSIVUNJIWE NYUMBA ZETU
 
Binafsi nimekuwa nikishangazwa sana na baadhi ya watu wanaopiga kelele na kupinga pinga tu kwa kile kinachofanywa na Serikali hii ya sasa chini ya rais wetu amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mh. Dk. JPM,

Hivi tulikuwa tunahitaji kiongozi wa aina gani tofauti na huyu rais tuliyenaye? Sipati jibu hasa kwa hawa watanzania wenzangu ninaowaona wakitokwa misuli ya shingo kubishia na kupinga kile kinachofanywa na rais wetu.

Zimekuwa zikitafutwa sababu za kipuuzi na zisizo na mashiko zenye mlengo wa kuchochea wananchi wapinge juhudi zinazofanywa na serikali lakini kwa umadhubuti wa Serikali na kutowajali wapiga kelele hao wamejikuta wako wenyewe na wananchi wamewapuuza na kuwaona ni wapiga domo tu, kama wanapinga kinachofanywa sasa hivi je walitaka kifanyweje na kwa ubora upi.

Juhudi za rais ziungwe mkono na kila raia wa Tanzania pasipo kujali chama, dini, ukanda ukabila, n.k . Tuungane kuijenga nchi kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo. Tutaumia kwa sasa ila maumivu yakizidi ndivyo neema inakaribia.

.............. Wako katika kazi...........

Kalenga kidamali

Wapi Huko Ambapo Kiongozi Anasemwa vizuri tuuu!Wapi huko Kiongozi huwa anasemwa Vibaya Tuu.?
Ninaheshimu mtazamo wako juu ya utendaji wa Mh. Rais! Usilazimishe sasa na wengine waone kama wewe!
Hizi ni Tawala za Wanadamu! Wanadamu wanamapungufu mengi mno! Lazima wasemwe wakosolewe! Na welevu hujisahihisha.
Aluta Continua.
 
Wapi Huko Ambapo Kiongozi Anasemwa vizuri tuuu!Wapi huko Kiongozi huwa anasemwa Vibaya Tuu.?
Ninaheshimu mtazamo wako juu ya utendaji wa Mh. Rais! Usilazimishe sasa na wengine waone kama wewe!
Hizi ni Tawala za Wanadamu! Wanadamu wanamapungufu mengi mno! Lazima wasemwe wakosolewe! Na welevu hujisahihisha.
Aluta Continua.
Tatizo hamko balanced nyinyi mnaojiita wakosoaji, na mnapokera zaidi ni pale mnapolazimisha wananchi waone hakuna zuri linalofanywa na Serikali, lakin pia katika ukosoaji wenu hakuna hata sehemu moja mnapotambua jitihada za mh. Rais katika kutuletea maendeleo wananchi, nyinyi kila mnapotokwa na maneno ni kupinga kupinga tu haijalishi jambo lililofanywa ni zuri au la,

lakini pia mnapuuzwa kwa kutotaka kukiri na kutambua japo kiduchu jitihada hizi zinazofanywa na Serikali kwa maslah mapana ya taifa, na kutokana na hiyo tabia basi kila mpenda maendeleo anawaona nyie ni watu mliopotea njia na hamjui mnapigania nn sasa kama mtu anataka kuwaletea maendeleo bado mnampinga na kumkejeli sasa mnataka nini mfanyiwe...???
 
yaan inahitaji uwe chiz kusifia utawala wa awamu hii!!

ccm wenyewe wakikaa sirini wanamnanga baba yenu rejea oresendeka. fuatilia na zile barua za siri zinavyovuja awam hii yote ni kuashiria huko chumban hakuko salama. bado kuna watu mnamsifia waz wazi??

angalia vizur jina langu uje uniulize baada ya utawala huu. nakuahid utakuja kushuhudia upigaji wa kutisha kuliko awamu yeyote kuwahi kutokea TZ. mungu atupe uzma
 
Binafsi nimekuwa nikishangazwa sana na baadhi ya watu wanaopiga kelele na kupinga pinga tu kwa kile kinachofanywa na Serikali hii ya sasa chini ya rais wetu amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mh. Dk. JPM,

Hivi tulikuwa tunahitaji kiongozi wa aina gani tofauti na huyu rais tuliyenaye? Sipati jibu hasa kwa hawa watanzania wenzangu ninaowaona wakitokwa misuli ya shingo kubishia na kupinga kile kinachofanywa na rais wetu.

Zimekuwa zikitafutwa sababu za kipuuzi na zisizo na mashiko zenye mlengo wa kuchochea wananchi wapinge juhudi zinazofanywa na serikali lakini kwa umadhubuti wa Serikali na kutowajali wapiga kelele hao wamejikuta wako wenyewe na wananchi wamewapuuza na kuwaona ni wapiga domo tu, kama wanapinga kinachofanywa sasa hivi je walitaka kifanyweje na kwa ubora upi.

Juhudi za rais ziungwe mkono na kila raia wa Tanzania pasipo kujali chama, dini, ukanda ukabila, n.k . Tuungane kuijenga nchi kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo. Tutaumia kwa sasa ila maumivu yakizidi ndivyo neema inakaribia.

.............. Wako katika kazi...........

Kalenga kidamali
Mungu msamehe mtu huyu ajui aandikalo
 
yaan inahitaji uwe chiz kusifia utawala wa awamu hii!!

ccm wenyewe wakikaa sirini wanamnanga baba yenu rejea oresendeka. fuatilia na zile barua za siri zinavyovuja awam hii yote ni kuashiria huko chumban hakuko salama. bado kuna watu mnamsifia waz wazi??

angalia vizur jina langu uje uniulize baada ya utawala huu. nakuahid utakuja kushuhudia upigaji wa kutisha kuliko awamu yeyote kuwahi kutokea TZ. mungu atupe uzma
Halafu kuna kitu nashindwa kuelewa hapa, nionavyo mimi kuna upande ambao rais aliposema TUMUOMBEE unamuombea mabaya tu kila siku na pale maombi yao yanapokataliwa na Mungu basi wanatafuta hoja mfu na za kubahatisha ili kulazimisha maombi yao yatimie... Sasa mtu unapo okototeza hoja za huko vijiwen na kuja kusema...... "eti inasemekana hata ccm wakikaa sirini wanasema hivi......" je uliwaona au ili mradi useme tu nafsi yako iridhike kwa kupinga... Na kwann unahangaika na hivyo vihoja vya kuokoteza na kubahatisha wakati mambo mengi bayana yanayofanywa yapo kwann ujipe tabu hivo mtanzania mwenzangu.? Tumuunge rais mkukono tumpe moyo nae ajione anaongoza waungwana.....
 
Mabubu ulitaka waongee nini, na huo ububu ww umeuona kwenye nn, au ulitaka wapotoshaji wapate nafas ya kuendelea kupotosha wananchi huku wakiachwa watambe? Najua ulichotaka waseme na mm naunga mkono kuzuiwa kisisemwe, bila hivo nchi haiwez kwenda yaan mtu kila siku anapayuka na kuropoka mabaya tu kana kwamba hakuna zuri hata moja lililofanywa na Serikali.
Mku usimeze Radio tuu kwa kujibu hoja. Naomba unipe hayo mazuri unayoyasema ili nuweze kukuekewa kwani nitajuelewa. Ukitaja hayo mazuri unaweza kueleweke sio kulazimisha kueleweka. Hoja kwa hoja inapendeza zaidi ya mihemko
 
Mabubu ulitaka waongee nini, na huo ububu ww umeuona kwenye nn, au ulitaka wapotoshaji wapate nafas ya kuendelea kupotosha wananchi huku wakiachwa watambe? Najua ulichotaka waseme na mm naunga mkono kuzuiwa kisisemwe, bila hivo nchi haiwez kwenda yaan mtu kila siku anapayuka na kuropoka mabaya tu kana kwamba hakuna zuri hata moja lililofanywa na Serikali.
ni upunguwani na kukosa akili tu huwezi kuleta maendeleo kwa kuzuia wananchi wasiongee siasa. hivi ni viashiria vya kuongozwa na watu wenye upeo mdogo
 
Tatizo hamko balanced nyinyi mnaojiita wakosoaji, na mnapokera zaidi ni pale mnapolazimisha wananchi waone hakuna zuri linalofanywa na Serikali, lakin pia katika ukosoaji wenu hakuna hata sehemu moja mnapotambua jitihada za mh. Rais katika kutuletea maendeleo wananchi, nyinyi kila mnapotokwa na maneno ni kupinga kupinga tu haijalishi jambo lililofanywa ni zuri au la,

lakini pia mnapuuzwa kwa kutotaka kukiri na kutambua japo kiduchu jitihada hizi zinazofanywa na Serikali kwa maslah mapana ya taifa, na kutokana na hiyo tabia basi kila mpenda maendeleo anawaona nyie ni watu mliopotea njia na hamjui mnapigania nn sasa kama mtu anataka kuwaletea maendeleo bado mnampinga na kumkejeli sasa mnataka nini mfanyiwe...???
kwani tumemchagua ili tumsifie? msifieni huko kwenye chama inatosha msituburuze watanzania wote.ebo
 
Tatizo hamko balanced nyinyi mnaojiita wakosoaji, na mnapokera zaidi ni pale mnapolazimisha wananchi waone hakuna zuri linalofanywa na Serikali, lakin pia katika ukosoaji wenu hakuna hata sehemu moja mnapotambua jitihada za mh. Rais katika kutuletea maendeleo wananchi, nyinyi kila mnapotokwa na maneno ni kupinga kupinga tu haijalishi jambo lililofanywa ni zuri au la,

lakini pia mnapuuzwa kwa kutotaka kukiri na kutambua japo kiduchu jitihada hizi zinazofanywa na Serikali kwa maslah mapana ya taifa, na kutokana na hiyo tabia basi kila mpenda maendeleo anawaona nyie ni watu mliopotea njia na hamjui mnapigania nn sasa kama mtu anataka kuwaletea maendeleo bado mnampinga na kumkejeli sasa mnataka nini mfanyiwe...???
Mku hizo jitihada zisizo na majina ni zipi. Njoo nazo tukuelewe na kumbuka mtu hukosa hoja pale mlengwa anapofanya mazuri pasipo mazuri ni bure sio kulazimisha watu wakuelewe ktk makosa wanayoyaona yakiwa wazi bila kufucho.
Mku kulazimisha kusifiwa kwa lazima ni tatizo ambalo haliwezi kupata ufumbuzi kwani muhusika anajiona yuko sawa
 
Kapime akili ndo uje

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ukweli mchungu, ila jitahidi tu kuamini kinachotokea najua mnaombea Serikali iteteleke au ifanye makosa ili upate cha kuongea ila kama unasubiri hivo yaani utasubiri sana, mliisema sana awamu ya nne lakini baada ya kutoka madarakani mnaanza kuipongeza na mliovokuwa mkivitaka vinafanywa na hii Serikali ya awamu ya tano bado hamtaki kukubali mnachojua ni kupinga tu, haya twenden tu ila mjue hamiwatendei haki wananchi.
 
Ndio maana napenda sana mifumo ya kiutawala ya nchi kama North Korea, uchina na huko urusi... Yaan huko msemaji ni mmoja tu.. Akisema yy kinachofuata ni utekelezaji na wananchi wote wanafuata kile kilichosemwa na kiongozi... Ila sio huku kwetu kiongoz anasema hivi kanatokea karaia kanasema hakuna sio hivo..mara tanzania sijui haijawahi kupata kiongoz mbaya kama huyu, mara hatuoni juhudi za rais (wakati huo katoka hospital kama sio yy ndugu yake au mtu wake wa karibu na kahudumiwa vzur tofauti na huko nyuma... Ila bado yupo na hali ya upingaji tu ndan ya nafsi yake...
Uhuru wa maoni hauzuii utendaji. Kwani umeona Kuna Mtu anapinga kwa kuingia msituni kwa ajili ya kuasi? Au umeona Kuna Mtu kajaribu kupindua serikali? Si maoni tu na povu la hapa na pale? Kama utendaji Upo vizuri utaonekana tu, kama si sasa baadae. Hakuna sababu ya kutaka nchi yetu nzuri iwe na mfumo kama north Korea. Mtu akipinga kwa njia zisizo sahihi tuna sheria zetu za kushughulika na makosa ya namna hii. Acha watu waongee as long as hawavunji sheria. Ardhi yetu ni huru na ndivyo tunavyojiongoza. Na ndio maana watu tukisifia hatuzuiwi kusifia Ila katika kujenga lazima Kuna watakao umia, sasa wewe unataka wakiumia wasiseme? Kama wanaoumia ni wengi wakati wa kujenga pia unatakiwa ujiulize unajenga nini hicho kinachoumiza kila Mtu.
 
Rejea sababu za kusitishwa na sio kufutwa mbona mnapenda kukuza hivo mambo? Wapi yalipofutwa kama si kusimamishwa kwa mda? Mnakera sana enyi kizazi cha sasa. Muwe mnaelewa kwanza kabla ya kupayuka... Lakin pia hilo ni kwa mkoa wa dsm si nchi nzima,
Kwa hiyo unakubali kuwa jamaa ana uwezo wa kusitisha mabaraza ya kata! Duh! Sasa sheria ya THE WARD TRIBUNALS ACT, 1985 Ni ya kazi gani kwasasa!

BTW police wanatuhumiwa sana kwa rushwa hivyo tutarajie siku moja huyo jamaa atasitisha shughuli za police kwa muda.
Kwa hiyo leo wananchi wa Dsm wakiwa na mgogoro wanapeleka ofisi za mkuu wa mkoa!
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mengi mazuri yanafanywa yanaendelea kufanywa... Hivi hiyo ATCL kabla ya rais magufuli ilikuwa na ndege ngapi zinazofanya kazi? Lakin pia kukua kwa deni la taifa ni suala lisilozuilikika deni lazima likue kutokana na aina ya miradi mikubwa ambayo pia ni productive pindi ikikamilika.. Sidhani kama atatokea rais katika hizi nchi za dunia ya tatu asikope au kuongeza deni la taifa kama unavyofikiria...

ATCL inapata hasara kila kukicha, wake up dude
 
Ndio maana napenda sana mifumo ya kiutawala ya nchi kama North Korea, uchina na huko urusi... Yaan huko msemaji ni mmoja tu.. Akisema yy kinachofuata ni utekelezaji na wananchi wote wanafuata kile kilichosemwa na kiongozi... Ila sio huku kwetu kiongoz anasema hivi kanatokea karaia kanasema hakuna sio hivo..mara tanzania sijui haijawahi kupata kiongoz mbaya kama huyu, mara hatuoni juhudi za rais (wakati huo katoka hospital kama sio yy ndugu yake au mtu wake wa karibu na kahudumiwa vzur tofauti na huko nyuma... Ila bado yupo na hali ya upingaji tu ndan ya nafsi yake...
Kwa hapa umejipambanua vizuri ulivyo na akili ya kinyapara kama huyo role model wako. Una tatizo kubwa sana la kufikiri watu ni mashine zisizoweza kufikiri na kubebewa bongo zao na mtu mmoja mwenye ubongo mbovu. Well you are wrong. We can think and better than your RM if you get what I mean. I am not a chadema, I'm not a nyinyiem, I am a liberal, liberally thinking. Dunia ya sasa sio ya kufikiri una mawazo bora kuliko wengine ukafikiri ukiwanyamazisha utafanikiwa. Ni wendawazimu peke yao ndio wanaofikiri hivyo. Hii dunia huendeshwa na watu walio objective pekee, sio akili ya kibuldoza. Idiot
 
Kama wewe sio msomaji wa ripoti za kiuchumi huwezi kumuekewa Magufuli.Na kama wewe ni mpinzani wa kubisha tu ilimradi uinekane na wewe umepinga kumbe mpayukaji huwezi kumuelewa Magufuli.Hakuna nchi iliendelea duniani kwa madili ya kuuza unga na ku-import zaidi kuliko ku-export zaidi kama Tanzania ilivyokuwa.Magufuli ni kichwa na kwa nchi ilipokuwa imefikia ni lazima ubabe utumike ili tusonge mbele.
 
Back
Top Bottom