Hivi bado upingwaji wa jitihada za Rais unaendelea?

Hivi bado upingwaji wa jitihada za Rais unaendelea?

Ndio maana napenda sana mifumo ya kiutawala ya nchi kama North Korea, uchina na huko urusi... Yaan huko msemaji ni mmoja tu.. Akisema yy kinachofuata ni utekelezaji na wananchi wote wanafuata kile kilichosemwa na kiongozi... Ila sio huku kwetu kiongoz anasema hivi kanatokea karaia kanasema hakuna sio hivo..mara tanzania sijui haijawahi kupata kiongoz mbaya kama huyu, mara hatuoni juhudi za rais (wakati huo katoka hospital kama sio yy ndugu yake au mtu wake wa karibu na kahudumiwa vzur tofauti na huko nyuma... Ila bado yupo na hali ya upingaji tu ndan ya nafsi yake...
Nchi hizo ulizozisifia ni za ki dictator, huko watu hawana uhuru wa kusema, na bado hazijafanikiwa kiasi cha kupigiwa mifano. Huyu wetu lazima a fail kwa vyovyote. Kiongozi lazima aonyeshe njia na akubali kukosolewa ikiwa njia hiyo mwisho wake ni jehanamu. Aliomba kutuongoza si kututawala, hivyo atusikilize

Kilichotokea kwa wafugaji, wavuvi, wafanye kazi (vyeti feki) na hata wenye nyumba zinazobomolewa kwa mizuka. Ni vizuri hayo ukayasikia kwa watu wengine siyo kwako binafsi. YANAUMIZA SANA
 
Mabubu ulitaka waongee nini, na huo ububu ww umeuona kwenye nn, au ulitaka wapotoshaji wapate nafas ya kuendelea kupotosha wananchi huku wakiachwa watambe? Najua ulichotaka waseme na mm naunga mkono kuzuiwa kisisemwe, bila hivo nchi haiwez kwenda yaan mtu kila siku anapayuka na kuropoka mabaya tu kana kwamba hakuna zuri hata moja lililofanywa na Serikali.
Usiwalazimishe watu kuona mazuri kama hawayaoni!! Kikubwa afanye kazi aliyoiomba, na kufanya vizuri ni wajibu wake siyo hisani.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mengi mazuri yanafanywa yanaendelea kufanywa... Hivi hiyo ATCL kabla ya rais magufuli ilikuwa na ndege ngapi zinazofanya kazi? Lakin pia kukua kwa deni la taifa ni suala lisilozuilikika deni lazima likue kutokana na aina ya miradi mikubwa ambayo pia ni productive pindi ikikamilika.. Sidhani kama atatokea rais katika hizi nchi za dunia ya tatu asikope au kuongeza deni la taifa kama unavyofikiria...
Mkuu,jichunguze kwa umakini.Una uhakika haujavimbiwa baada ya kunywa ulanzi pale Nzihi na kufakamia bagia kwa nyamsapulo?
 
Nchi hizo ulizozisifia ni za ki dictator, huko watu hawana uhuru wa kusema, na bado hazijafanikiwa kiasi cha kupigiwa mifano. Huyu wetu lazima a fail kwa vyovyote. Kiongozi lazima aonyeshe njia na akubali kukosolewa ikiwa njia hiyo mwisho wake ni jehanamu. Aliomba kutuongoza si kututawala, hivyo atusikilize

Kilichotokea kwa wafugaji, wavuvi, wafanye kazi (vyeti feki) na hata wenye nyumba zinazobomolewa kwa mizuka. Ni vizuri hayo ukayasikia kwa watu wengine siyo kwako binafsi. YANAUMIZA SANA

Ndugu unasema nchi za china, urusi,na korea hazijafanikiwa? Hizo nchi za kimagharibi zenyewe zinaumiza kichwa juu ya maendeleo ya hawa majamaa.... Ona nchi kama korea ilipofikia had inatamka wazi na hadharan kuwa anaweza mpiga mmarekani na mmarekani anaumiza kichwa namna ya kumnyamazisha.

Na katika hizo nchi huwez sikia sijui maandamano, mikutano ya siasa mara upingwaji wa hovyo hovyo wa jitiahada za Serikali, yaan huko mda mwingi ni kufanya kazi kwa ajiri ya maendeleo ya taifa na matokeo yake unayaona walipofikia, huko hakuna waropokaji wala wasema hovyo kuwaraghai wananchi kama ww unavyotaka na ndiko wananchi wana uzalendo wa hali ya juu kwa mataifa yao yaan bora useme kitu kingine lakin sio kuhusu utaifa wao na viongoz wao na kwa hivyo maendeleo ni rahis kutokea... Sasa jilinganishe na ww ulivo na mapenzi mfu kwa nchi yako yaan uzalendo ni zero hadi inafikia unataman kuwa mtu wa nchi nyingine na hata nchi yako ikipatwa na tatizo ndio unafurahia bila kujua watakao athirika ni ndugu zako....

Ila hayo yoye yameletwa na hayo mnayoyaita uhuru wa kuongea sijajua kama kuongea ni kukosoa na kupinga tu mda wote na kupotosha wananchi.... , lakin najua bado hamjajua mnachokitafuta.. Yaan unatafutwa uhuru wa kuropoka au maendeleo? Kwa sababu mkiachiwa muongee mnataka mtumie mda mwingi kuoropoka hovyo na kupotosha wananchi masaa 24 badala ya kufanya kazi, mnasahau kuwa kuyapata maendeleo ni kufanya kazi na sio kuongea hovyo na kuishambulia viongoz na kupinga nia nzuri ya serikali ya kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Kuhusu hao wavuvi na nyumba kubomolewa ni masuala ya kisheria na kwa ww usiyeitakia mema nchi ndio umepata nafas ya kuchochea ili ionekane Serikali kuwa ni mbaya na inafanya ubaya kwa wananchi, ila ukae ukijua huo ni utekelezaji wa sheria... Lakin hayo yote ni kwa maslah mapana ya taifa.
 
Mkuu vipi na ww ni miongoni mwa hao vipofu wasiiona hizi jitihada...?, Sijataka kuzikorodhesha ila najua kila mmoja kwa nafasi yake anazijua vizuri...
Hakuna asiyeona anachokifanya rais wa nchi. Ni mtu mkweli na mwadilifu, ni mtu ambaye angependa uchumi wa nchi yetu ukue na uwasaidie watu wengi zaidi. Tunachokataa ni nyinyi kumuona kama Mungu na yeye akaamini! Sitamuunga mkono mzazi atakayemkata kidole mwanae, kisa kaiba mboga!. Kuchukia wizi hakuhalashi kumfanyia mtu kitu ambacho ni kinyume na haki zake za msingi. Hivi unakubaliana na utaratibu wa Mhe. Makonda anavyoendesha mambo. Hivi ni sahihi kutamka hadharani kuwa ni malaika? Acha ushamba. Kwa watu wastaarabu hiyo ni KEJELI.
Umeisha jiuliza ni kwa nini mchakato wa kumfanya Nyerere Mtakatifu ulisubiri afe?
 
Kama juhudi ni kudidimiza masikini zaidi amefanikiwa. Shule za umma hoi,ajira zinapungua,maisha aghali, chaguzi za kisanii na vitisho kibao.

Karma vipimo ni hivyo,hongereni sana.Viwanda tayari 100 kila mkoa baada ya 50m.
 
Ndugu unasema nchi za china, urusi,na korea hazijafanikiwa? Hizo nchi za kimagharibi zenyewe zinaumiza kichwa juu ya maendeleo ya hawa majamaa.... Ona nchi kama korea ilipofikia had inatamka wazi na hadharan kuwa anaweza mpiga mmarekani na mmarekani anaumiza kichwa namna ya kumnyamazisha.

Na katika hizo nchi huwez sikia sijui maandamano, mikutano ya siasa mara upingwaji wa hovyo hovyo wa jitiahada za Serikali, yaan huko mda mwingi ni kufanya kazi kwa ajiri ya maendeleo ya taifa na matokeo yake unayaona walipofikia, huko hakuna waropokaji wala wasema hovyo kuwaraghai wananchi kama ww unavyotaka na ndiko wananchi wana uzalendo wa hali ya juu kwa mataifa yao yaan bora useme kitu kingine lakin sio kuhusu utaifa wao na viongoz wao na kwa hivyo maendeleo ni rahis kutokea... Sasa jilinganishe na ww ulivo na mapenzi mfu kwa nchi yako yaan uzalendo ni zero hadi inafikia unataman kuwa mtu wa nchi nyingine au nchi yako ikipatwa na tatizo ndio unafurahia bila kujua watakao athirika ni ndugu zako.... Hiyo yoye imeletwa na hayo mnayoyaita mademokrasia lakin na zaidi kutoelewa mnachokitafuta..

Kuhusu hao wavuvi na vyumba kubomolewa ni masuala ya kisheria na kwa ww usiyeitakia mema nchi ndio umepata nafas ya kuchochea ili ionekane Serikali kuwa ni mbaya na inafanya ubaya kwa wananchi, ila ukae ukijua huo ni utekelezaji wa sheria... Lakin hayo yote ni kwa maslah mapana ya taifa.
Nilichokiona kwako kama upungufu ni kudhani kuwa kumpinga Rais aliyepo madarakani ni kukosa uzalendo!!! Si hivyo anaweza usikubaliane na viongozi wa chama tawala, lakini ukawa mzalendo pure, kuliko hao wanaotawala na kuingiza nchi kwenye mikataba ya ki Mangungo ref: Mikataba ya madini, mafuta na gas.

Tukiitaka Tz nzuri turuhusu siasa za ushindani, ili wananchi wawe huru na kujua ukweli wa viongozi wanaowaongoza, badala ya ujanja ujanja wa Chama kimoja na kiongozi wake kisa tu kuwampinga ati ni kukosa uzalendo!!!!

Huwezi kuukubali mfumo wa vyama vingi kinadharia lakini ki vitendo unavikandamiza kwa vyombo vya dola!!! Mfano mzuri ni uchaguzi uliopita 2015 nusu ya wananchi waliikataa CCM. Hiki sio kitu cha kudharau. Wananchi wana kiu ya kufanya mabadiliko, wasinyamazishwe na chama chochote, kwa kigezo chochote kile.
 
Unajua uzalendo ni dhana pana sana huwez kuwa mzalendo wa kweli halafu kila kukicha unaiombea nchi mabaya tu na ikitokea nchi ikapata shida kidogo basi kwako ndio furaha inakuwa kubwa kwa sababu unapata chakusema, uzalendo hauwez kuwa hivyo kwanza uzalendo unamuhitaji mtu mwenye mapenzi ya dhati kwa nchi yake na anayepambana kuitakia mema nchi. Sasa ukiona mtu anakomaa kuitakia mabaya nchi halafu anasema yy ni mzalendo sijui ni uzalendo upi huo... Au ni matumiz potofu ya dhana ya uzalendo au demokrasia ili kuhalalisha nia ovu juu ya taifa?

Yaan hivi tu yamezuiliwa maandamano na mamikutano ya siasa mnajitokeza je mngeruhusiwa hivi kazi zingekuwa zinafanyika kweli, najua mh. Rais amewasaidia sana bado mna survive ila mngeachiwa mfanye siasa na maandamano yenu sasa hivi mngekuwa mmekwisha kisiasa kwa kupuuzwa na hata hao wanachama wenu kiduchu mnaowategemea. Kwa hiyo tabia yenu ya kupingapinga na kutotambua jitihada za Serikali huku mkijiita wakosoaji, wakosoaji gani wasiotaka kuona hata japo kidogo kazi kubwa inayofanywa na Serikali katika nchi hii ukilinganisha na ilipokuwa?
 
Nani kakwambia... Unajua hapo ndio shida ya wapinzani yaani najua hayo ndiyo mnayo ombea yatokee ili mpate ya kusema.... Haya sema baba sema hiyo ndio kazi yenu bwana sisi huku tuko bize na maendeleo.

==================
GAUTAMA karibu mkombe, majengo, kinyamulewa na maeneo ya hapa kidamali hadi nzihi... Msimu wa kupalia sasa hivi karibu tupalie tupalie palizi ya pili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatuombei ila ndio uhalisia wenyewe, time will tell.


Nina eka zangu 4 za maharagwe Magubike, nawinda mashamba ya George Filiakos akiyaacha nayo nilime hata tueka tu Nne
 
Hatuombei ila ndio uhalisia wenyewe, time will tell.


Nina eka zangu 4 za maharagwe Magubike, nawinda mashamba ya George Filiakos akiyaacha nayo nilime hata tueka tu Nne
Na mpango wa kupata shamba hapo lunyang'ama vipi mazingira ya hapo..
 
Juhudi za akina mnyeti eti ndo wanafanya kaz
Sukal imemshinda
Makanikia yamemshinda
Bombadier imemshinda
Amebak anahaha tuu na kulaum na kufuza wafanya kazi

Ajira kashindwa kutoa yan sijui anaweza nn labda ma kamera action na kuonekana kwenye magazet
 
Back
Top Bottom