kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 753
- Thread starter
- #81
Nani kakwambia... Unajua hapo ndio shida ya wapinzani yaani najua hayo ndiyo mnayo ombea yatokee ili mpate ya kusema.... Haya sema baba sema hiyo ndio kazi yenu bwana sisi huku tuko bize na maendeleo.ATCL inapata hasara kila kukicha, wake up dude
==================
GAUTAMA karibu mkombe, majengo, kinyamulewa na maeneo ya hapa kidamali hadi nzihi... Msimu wa kupalia sasa hivi karibu tupalie tupalie palizi ya pili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]