Hitler yuko wapi?

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
1ef599cf57689b34289e3afa3638bf14.jpg

Baada ya kuwashuhudia vijana wa Bashite wakimshughulikia aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye, nimejawa na wasi wasi mkubwa kuhusu hatma ya kijana Bernard Focus Saanane!

Kwamba hiki kitendo kimefanyika mchana kweupee in broad daylight na mbele ya waandishi wa habari ni kielelezo cha tulipofika kama taifa.
 
Hitler mara ya mwisho kumuona ilikuwa koromije miaka km 10 iliyopita sema alikuwa kabadili jina silikumbuki vzr
Adolf Hitler alikuwa na henchman anayeitwa Heinrich Himmler, Idi Amin Dada alikuwa na henchman wake anayeitwa Isaac Maliyamungu na historia ya madikteta wote ni kwamba wanakuwa na mtu anayetekeleza mambo kwa niaba yao. Huyo mtu haguswi, ukimgusa ni kama umechezea sharubu za simba.
 
Adolf Hitler alikuwa na henchman anayeitwa Heinrich Himmler, Idi Amin Dada alikuwa na henchman wake anayeitwa Isaac Maliyamungu na historia ya madikteta wote ni kwamba wanakuwa na mtu anayetekeleza mambo kwa niaba yao. Huyo mtu haguswi, ukimgusa ni kama umechezea sharubu za simba.
Asante sana kwa kunikumbusha hawa mafia .
 
quote-all-of-us-who-are-members-of-the-germanic-peoples-can-be-happy-and-thankful-that-once-in-heinrich-himmler-85480.jpg


Huyo hapo ndiye Heinrich Himmler na kwa wanaojua kimombo maneno anayoyasema hapo juu yanashabahiana sana na tunayoyasikia hapa nchini kwetu.
Na kwa wale ambao kimombo hakipandi, hii ndiyo tafsiri ya karibu...

"Wananchi wote wa Ujerumani tunatakiwa tufurahi na kushukuru kwamba baada ya muda mrefu na kutoka miongoni mwetu Wajerumani, tumepata chaguo la Mungu, kiongozi mwerevu kupindukia, mheshimiwa sana Adolf Hitler, na sharti ufurahie bahati yako ukiruhusiwa kufanya kazi nasi."
 
1ef599cf57689b34289e3afa3638bf14.jpg

Baada ya kuwashuhudia vijana wa Bashite wakimshughulikia aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye, nimejawa na wasi wasi mkubwa kuhusu hatma ya kijana Bernard Focus Saanane!

Kwamba hiki kitendo kimefanyika mchana kweupee in broad daylight na mbele ya waandishi wa habari ni kielelezo cha tulipofika kama taifa.
Hitler yuko Tanzania Kolomije
 
Isaac-Maliyamungu..jpg

Huyu ndiye alikuwa Kanali Isaac Maliyamungu (sasa marehemu)
Wakati wake wengi walipotea katika mazingira tatanishi na kosa kubwa ni kusikika ukimsema vibaya bosi wake aliyejulikana kama His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular!

special01pix.jpg

Wengi walipotea kwa njia hii.
 
Yupo sana pande za Magogoni!!!

Natamani Sizonje afanye haraka kuhamia kule walikoenda wenzake; sijui kwanini jumba lake linachelewa kukamilika!!

Nakosa amani kila ninapokumbuka anaweza kunifikia hapa nilipo hata bila kupanda gari!!!

Na kwa heshima ya Mkoa wa Dar es salaam nilitamani hata Mkuu wake awe anaishi Makao Makuu ya Nchi!!! Dar es salaam ni mkoa mkubwa bhana... mkuu wake ana haki kabisa ya kuishi makao makuu ya nchi!!!

Ningekuwa na amani maradufu kuona Sizonje na Daudi Albert Bashite wote wanahamia Makao makuu!!!
 
Kwamba Dictator lazima awe na mpambe mwenye kutimiza kazi na kuhakikisha kazi za Mkuu zinasimama na kutekelezwa

Umeeleweka
 
Unafikiri hatuchangii uzi wako Mag3, tunachangia sana tu ndugu yetu, bali tunachangia kimoyomoyo tunaogopa wenyewe wasitusikie!!

pic+nape+bastola.jpg

Jamani hebu fikirieni kama tukio hili lingefanyika gizani (usiku) na bila mashuhuda! Yawezekana sasa hizi tungekuwa tunaongea mengine tukijiuliza aliko Nape kama tunavyojiuliza alipo Ben. Sina hakika kama Nape Nnauye mwenyewe anajua alivyo na bahati kuweza kuchomoka kirahisi namna hiyo...

Nakumbuka yaliyompata Mwandishi Daud Mwangosi na msemaji wa polisi kudai Chadema walimtupia kitu na kumlipua...je kama ushahidi wa picha usingekuwepo, wana Chadema wangapi wangebambikiwa kesi ya mauaji?
 
Isaac-Maliyamungu..jpg

Huyu ndiye alikuwa Kanali Isaac Maliyamungu (sasa marehemu)
Wakati wake wengi walipotea katika mazingira tatanishi na kosa kubwa ni kusikika ukimsema vibaya bosi wake aliyejulikana kama His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular!

special01pix.jpg

Wengi walipotea kwa njia hii.
Ahaaaaa....aiseee nimecheka sana hilo jina alilokua akijiita Iddy Amin Dada...SKU zote nilikuwa nikidhani jina la wazabanga Mobutu ssesseseko ndo la ajabu ajabu sana kumbe amini yupo na jina tata namna hii aisee nimecheka Sana.

Ila jamaa maliyamungu alikuwa anafanana sana na bushmen..muangalie kwa umakini sana.
 
pic+nape+bastola.jpg

Jamani hebu fikirieni kama tukio hili lingefanyika gizani (usiku) na bila mashuhuda! Yawezekana sasa hizi tungekuwa tunaongea mengine tukijiuliza aliko Nape kama tunavyojiuliza alipo Ben. Sina hakika kama Nape Nnauye mwenyewe anajua alivyo na bahati kuweza kuchomoka kirahisi namna hiyo...

Nakumbuka yaliyompata Mwandishi Daud Mwangosi na msemaji wa polisi kudai Chadema walimtupia kitu na kumlipua...je kama ushahidi wa picha usingekuwepo, wana Chadema wangapi wangebambikiwa kesi ya mauaji?
Nape hapo ashukuru wanahabari tu, hata huyo aliyekuwa mlinzi wake inaonekana alijua issue yote ndio maana hakuchukua hatua yoyote boss wake alipotolewa bastola.
 
Mag3 Saa mbili kabla ya Mwangosi kuuawa nilikuwa na maongezi naye. Na kulikuwa na namna fulani na mimi niende Nyololo, wenyewe wanajua kilichosababisha wamuue na kisha wapandishane vyeo!!
 
Ngoja tumalizane na bashite mengine haya yataji execute. Bashite anajua fika Beni alikopelekwa.
 
Back
Top Bottom