Hilo dance sasa....uwiiiiiiii





Mtaaam kweliNakupenda...
Tena nina imani sanaaa
Huhuuuuuu wimbo mtamu sana huu.
Hahaha. ...naomba nikubaliane tu kuwa tuna tofauti ktk kukipenda kitu.Ngoja na mie niutafute maana ndio nausikia kwako ati..nilikua busy na tabia za mnyama simba (sio timu ya msimbazi) kuna waungwana wametiririka balaa hadi kuna mdada kafall in love na simba
..ila leo blaza wamekukamia![]()

hahahh nyimbo zinazoishi hizo.. mshana kaamua anyamazishe watu leoWamebaki oooh wa zamani sijui nini.
Kwani hata ukiwa wa zamani itabadili nini?
Wivu huu lohHahaha. ...naomba nikubaliane tu kuwa tuna tofauti ktk kukipenda kitu.
Wimbo gani huo mbaya hivyoooo. ....
Kubwa nililoona hapo ni kuwa na wachezaji wengi wa kwaito kama tunavyofanyaga harusini, kingine ni hayo masuluali kama mifuko ya kukamulia machicha baasi!
Hongereni mliokunwa![]()
![]()
