Hit song: Unconditionally BAE

Hit song: Unconditionally BAE

Ngoja na mie niutafute maana ndio nausikia kwako ati..nilikua busy na tabia za mnyama simba (sio timu ya msimbazi) kuna waungwana wametiririka balaa hadi kuna mdada kafall in love na simba

..ila leo blaza wamekukamia
 
Ngoja na mie niutafute maana ndio nausikia kwako ati..nilikua busy na tabia za mnyama simba (sio timu ya msimbazi) kuna waungwana wametiririka balaa hadi kuna mdada kafall in love na simba

..ila leo blaza wamekukamia
Hahaha. ...naomba nikubaliane tu kuwa tuna tofauti ktk kukipenda kitu.

Wimbo gani huo mbaya hivyoooo. ....

Kubwa nililoona hapo ni kuwa na wachezaji wengi wa kwaito kama tunavyofanyaga harusini, kingine ni hayo masuluali kama mifuko ya kukamulia machicha baasi!

Hongereni mliokunwa
 
Hahaha. ...naomba nikubaliane tu kuwa tuna tofauti ktk kukipenda kitu.

Wimbo gani huo mbaya hivyoooo. ....

Kubwa nililoona hapo ni kuwa na wachezaji wengi wa kwaito kama tunavyofanyaga harusini, kingine ni hayo masuluali kama mifuko ya kukamulia machicha baasi!

Hongereni mliokunwa
Wivu huu loh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom