Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

Huu Wimbo NKOSI SIKELEL/GOD BLESS AFRICA/MUNGU IBARIKI AFRICA umetungwa na Jamaa mmoja kutoka South Afrika anaitwa Enoch Santonga,aliutunga Mwaka 1897.

Ulianza kutumika hapa Tanganyika pale tuu Tanganyka ilipopata Uhuru Mwaka 1961,sasa shangaa Wimbo wa Tanganyika ukaamishwa kwenda Tanzania kuwa Wimbo wa Taifa.

Pia wimbo huu unatumika na Zambia kama wimbo wao wa Taifa kuanzia Mwaka 1964 hadi leo hii, na pia South Africa wenyewe wanautumia kama Wimbo wao wa Taifa tangu pale 1994 ubaguzi wa rangi ulipoisha mpaka leo wakiuita NKOSI SIKELEL
 
Mtunzi wa tuni ya wimbo wa taifa la tanzani pia na Afrika ya kusini na Zambia, mwaka 1897, bwana Enoch Mankayi Sontonga.

Enoch alikuwa raia wa Africa Kusini toka jamii ya Xhosa.
1427449253547.jpg
1427449275849.jpg
 
Leo nilikuwa nikisikiliza nyimbo za taifa za nchi mbali mbali, then i came to realize kuwa tanzania tulikopi wimbo ambao ulikuwa ukiimbwa SA since 1897 na baadae kubarikiwa kuwa wimbo wa taifa wa SA.

Sasa najiuliza hivi nani alitutungia wimbo wa taifa?
 
una uhakika gani sisi tumekopi na kwa nini wao wasiwe wametukopi?

Tanzania -

"Mungu ibariki Afrika" (English: God bless Africa) is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika.[SUP][1][/SUP] The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.
"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words...........................

Sontonga, a Xhosa, was born in the city of Uitenhage in the Eastern Cape. He trained as a teacher at the Lovedale Institution and subsequently worked as a teacher and choirmaster at the Methodist Mission school in Nancefield, near Johannesburg for eight years
 
Wafinish wana wimbo unaitwa Maame laullu umeandikwa na Enoch Sontonga, sasa sijui tukusaidie nini, au nini unachotaka kutuambia.
 
Tanzania -

"Mungu ibariki Afrika" (English: God bless Africa) is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika.[SUP][1][/SUP] The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.
"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words...........................

okey thank u
 
Last edited by a moderator:
Tanzania -

"Mungu ibariki Afrika" (English: God bless Africa) is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika.[SUP][1][/SUP] The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.
"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words...........................

na iwe ivo mkuu
 
Sauti / tone imetungwa na bwana mmoja anaitwa Enoch Sontonga ukaendelezwa na bwana mmoja anaitwa SAMUEL EDWARD KRUNE MQHAYI kwa kuweka maneno Nkosi sikeli Africa kisha mataifa mbalimbali ikiwemo Tanzania, Zambia na Namibia kuweka baadhi ya maneno. Kiujumla huo wimbo pamoja na kwamba umetungwa Africa Kusini lakini ni wimbo wa waafrika wote kutokana na mashairi yaliyopo hivyo hakuna ubaya kutumika kwetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom