Mkuu, tupo japo si kwa kumbukumbu kubwa sana. Mathalani Mia ya mmasai nakumbuka nilikuwa nikitumwa dukani(nilikuwa mdogo) lazima ufungiwe fundo kwenye shati ili usipoteze.Jasusi,
Wewe ndiye tunayeweza kucheza ngoma moja.
MiMmh bro kichuguu uko thawa,,,,,....
mada ya long time, but mashiko yake yana nguvu hata sasa
asante sana mwanzisha mada,,,,,
dah! kumbe mimi wa karibuni sana,,,,,shikamoo kwa walionitangulia haswa, note nyinginezo mimi sikuzifahamu jamani, history is Holly