Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,105
- 9,115
Ndio nani huyoMbona fundi maiko simuon kwenye kikao??? ndugu m/kit majibu tafadhali
Ndio nani huyoMbona fundi maiko simuon kwenye kikao??? ndugu m/kit majibu tafadhali
Huyo kasahau mengi sanaDanga umemsahau
Mbwembwe zikizidi mnabore sasa
PM yangu hutaki hata salam?
Limekaa kihuni huni tu.Kabisa baba wanaume wengi wanaojiita mabaharia ni vijana wa mtaani tu wahuni walioshindikana wanaume wanaojiheshimu na wanaojielewa hawawezi kukubali japo kuitwa tu mabaharia achilia mbali kujiita wenyewe
Ah sasa si nyie wenyew ndio mnajilengesha kujaMbona hata wanaume wa siku hizi mkikubaliwa tu mnawafanya watoto wa watu housegirls??
Hujajibu swali langu, ukishajibu na PM unakaribishwa
Mwongo sana 6 women per day for six month, 1000/(6*30)=5. 6=6
Saiz fundi maikoMia Tisa Inapendeza ----> Wahenga--------> Mzee Baba -----------> Baharia --------------->..........
Next Stop [emoji732]???
Haya mambo hayahitaji hasira, hii ni lugha inayoishi.Jamani wanaume mnaojielewa tafuteni hela watoto wenu wa kiume wasije kujiita mabaharia!!View attachment 1202986
Mademu wa saivi ukiwatongoza tayari ushakuwa mume ghafla! Wanakela
Mabahalia zetu kupiga na kusepa
Kwa hiyo hata wewe ni baharia?Haya mambo hayahitaji hasira, hii ni lugha inayoishi.
Wewe endelea kuabudu fedha. Endelea kuhisi baharia hana hela.
Baharia wa kike akiwa ghetto kwakeMabaharia ndio kama sisi mkuu
Na ukijifanya "mapenzi niue"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka kademu kamoja nimepiga tu mara moja siku inayofata nikaombwa laki , duuuh nilitoa tu ahadi nikapewa tena second round nikapiga. Jaman wadada kuweni na aibu jaman
hubadiliki unajua?uko vile vile...ubaharia na mimi vitu viwili tofauti