Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

baadhi ya watu waliozamia nchi za watu mfano South Africa,Zimbambwe n.k wakaenda either wakarudishwa au wakarudishwa au wakarudi wenyew ndo hupenda kujiita mabaharia wakijifananisha na wafanyakazi walio katik meli ambao husafiri umbali mrefu kama wao so kulihusisha na bhangi sio sahih hilo neno ni msimu 2 huja na kupotea
 
You must've been living under a rock. Baharia ni msemo wa zamani hasa miaka ya 90s na early 00s ila upo hadi leo.

Huu msemo ulianza wakati wa wimbi la vijana kuzamia nchi zingine kipindi kile kila mtu alikua na ndoto ya kuzamia.

Ubaharia unahusishwa na uhuni sababu ni wazi mabaharia, kama madereva wa malori, wana wanawake na watoto kila kituo.
 
Kwa niaba ya wavuta bangi Tanzania,,naomba mtoa mada apuuzwe kwa kusingizia Holy plant na vitu vya kijinga
Imekuwa tabia mbovu kwa watanzania wengi pale wanaposhindwa kuleta majibu yanayohusika usingizia bangi ndio zimewatuma...
wako msemaji Katibu mtendaji wa watumiaji Bangi Tanzania
 
Ulichopaswa kujifunza ni kwamba neno baharia linatumika kama msimu zagao kwa sasa, ili kuwakilisha wanaume mashababi.
Naam....kwenye kiswahili maneno huzaliwa hutumika na kufa, mtoa hoja kachemka, hakujua neno "baharia" haina maana ile aijuayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikao tulicho kaa juzi tuli adhimia kukifuta kigezo hiki kwani kinasababisha mabaharia kushindwa kuwa na hisia pindi maharia wanapojijaza wenyewe kwa baharia
Ila tulikubaliana Baharia hamna kumkubali dem anaekutaka mpaka umtake we mwenyewe.
 
Back
Top Bottom