yule sio msela wala sio bahariakwa hiy oLe mutuz ni msela
Ikambadilisha jinsia?itakuwa kapewa ndogo
Mzima weye Mtende? Za masiku? Upuuzi huo mie sinao. Juzi juzi hapa kulikuwa na msemo mwingine wa kipumbavu kuhusu umama. Sasa hivi umejifia kifo cha mende na huu upuuzi mwingine nao utajifia tu.
Sijui huwa wanatoa wapi haya maneno, najikuta nacheka tu
Mie mzima kabisa, hopeful uko salama pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah inaonekana hicho kibuti ulichopigwa si cha mchezo mpaka umeamua kuandika kimang'ati mkuu
Namshukuru Mwenyezi Mungu niko pia kabisa. Wasalimie sana wote uwapendao waambie BAK anawasalimia. Najua uko busy lakini jitahidi usipotee sana [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Sijajua Mkuu