Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Ndo hivyo
 
Vijana wa siku hizi wanafurahisha sana. Wakishikilia msemo utafikiri ni neno jipya. Sasa neno jipya kwao ni baharia
 
Hii ndio maana ya baharia[emoji1]
FB_IMG_1567950818174.jpeg
 
Ina maana wale Me ambao huwa naona humu munajiita mabaharia huwa hamjui maana. 😳
 
Nafikiri ungepata namba ya fundi maiko ungeelewa zaidi maana yeye ndio mwenyekiti wa Chamata kanda maalum ya Dar
 
Atimaye mabaharia wametambuliwa rasmi. tazama video.
 
Kazi iliyokuja kuheshimika sana Tanzania na Zanzibar katika miaka ya 60 mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 70 ilikuwa Ubaharia. Baharia enzi hizo alikuwa mtu mwenye pesa za kigeni za kutosha, alivaa mavazi ya bei ghali na mavazi adimu yaliyokuwa yanalingana na wakati kwa kujilinganisha na Uingereza. Vijana wengi walitamani sana kuipata nafasi ya kuajiriwa kwenye meli yoyote inayotia nanga Dar es salaam na wakati mwingine pale Ferry-Posta ya zamani ilikuwa mahali maarumu ambapo vijana walikuwa wanavizia meli za kuzamia. Kila aliyekataa kwenda shule.... alijiita Baharia bwana!.
 
Back
Top Bottom