Historia ya maisha yangu

Acha ubaya hauna maana,kama mtoto hajafa we endelea na maisha yako.Hayo yote hayakusaidii kitu,kama unaona utapata faida mfanyie ubaya.
 
Hapa shetani kakaa pembeni na Pepsi big anataka kujifunza kitu kutoka katavi
 
Kwa hiyo una taka kumuua??

MAANA UKOO WAKE MZIMA KUJI KUSANYA NI MSIBANI TU.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Dada nahisi ana matatizo ya kisaikolojia maana naona mpk amefikia hatua ya kutaka kuua ambayo ni hatua mbaya sana. Tatizo lake ameshindwa kumtoa moyoni huyo mzazi mwenzake na kwa magumu anayopitia wakati mwenzake ana maisha mazuri na ametulia na ndoa yake kinamuuma sana.

Naona amefikia hatua hata ya kutomwogopa Mungu na kutaka kumtoa uhai huyo ex wake.

Pia anataka kushiriki kwenye uchawi, kitu kibaya sana. Vipi ukikuta na huyo mzazi mwenzie yuko vizuri kwenye hayo mambo si ndio itakuwa vita vya kutoana roho
 
Kumbe haka ka stori kana utamu Fulani.
Funguka mpwa .
Imagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusikašŸ™
 
Una roho ya ajabu sana we mdada
 
Hapana Sina mpango wa kuuašŸ™na hayuko vizuri hivo,ntamrudisha nilikomkuta,ambapo nilikuwa namnunulia boxer,manake uwezo alikuwa hana.hayo ya saikolojia unajua wewe msomišŸ˜…
 
Learn to forget and move on with your life. Unasikia uchungu kwa material things? Vipi watu wanaosomesha mtu na akimaliza anamwagwa na maisha yanaendelea? Jamaa ameamua kukutosa wewe na mwanae, hapo kuna maawili mshitaki au lah achana nae assume kama amekufa
 
Hapana katavi inahusika,lyamba la mfipa
 
Hapana Sina mpango wa kuuašŸ™na hayuko vizuri hivo,ntamrudisha nilikomkuta,ambapo nilikuwa namnunulia boxer,manake uwezo alikuwa hana.hayo ya saikolojia unajua wewe msomišŸ˜…
Ujumbe wangu kwako waache hao jamaa (mzazi mwenzio na mkewe) waendelee na maisha yao. Wewe pambana na hali yako na mwanao. Unajikosesha amani bure wenzako wana-enjoy maisha yao. Huyo mtu hukupangiwa awe wako usilazimishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…