Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Wee...kumbe ni mke tu anatakiwa awe mnyenyekevu?? Ndo naiskia hapa ! Hapana siko ndoani ndo natafuta humuMahusiano yanataka mke awe mnyenyekevu, 50/50 ni mpango wa Ibilishi yule shetani.
Upo kwenye ndoa wewe?
Asee hata Mimi sikuachi mkuu ..inaonekana jamaa hakuwa na mpango na wewe ..hivyo fanya hima ufike kwa wazee wampige ganzi awe ndondocha Ila madhara lazima take na kwako pia maana ukijulikana umemtengeneza na wewe watakufanyia hivyo.Hapana katavi inahusika,lyamba la mfipa
Nilishakutag my dear
Siwezi kuweka link.
Yo nimeona heading, ni story tamu?Siwezi kuweka link.
"Mrejesho: kilichotokea baada ya wife kurudia saa sita za usiku"
Search hiyo
Oddo nawe.Hamna kitu hapo...katavi this katavi that[emoji848][emoji848]
Story haileweki yaaan
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wanawake wakitendwa inakuwa habari sana, mbona sisi yamekuw maisha ya kawaida tu kutendwaImagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusika[emoji120]
[emoji23]Katavi ipi jamani? Si tulikubaliana kusamehe 7 x70?
Upi tena my? Mbea mimi nimeumiss[emoji849]Oddo nawe.
Kuna ubuyu mpya mjini, achana na hizi Katavi