smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,575
- 12,186
Aisee kumbe shetani nae alipiga shule mkuu.
Hujaweka source ya hizi taarifa zako au na wewe ni mmoja wa wao??





Hii ni information age dunia haina siri tena hata UN wametoa ujumbe wao kwa kutumia lizard people juzi au hukuona mjusi anahutubia baraza la umoja wa mataifa ona hapa au na wewe upo na sapoti ajenda yao?
angalia na hapa UNited Nation video Link
mwamba em endelea na mada yako ..sijatoshekaa mkuu.kwanza nikushukuru kwa nondo ka hizi ila ungekazia kwa upana kuhusu zinaaa ingekua bomba sana maana naona ndo core ya kila kitu kulingana na mada ykoNi ujumbe maalumu kutoka umoja wa mataifa United Nations
Hebu shusheni madini ili na sisi tusiojua tuambulie kitu.kwa taarifa yako nina knowledge kubwa sana kuhusu habari zinazohusu vyama vya siri (secret societies). knowledge niliyonayo, wewe hata robo huifikii.
nilianza kujielimisha kwa kusoma vitabu mbalimbali miaka dahali iliyopita, wakati huo wewe ukiwa bado unanyonya.
kwa hapa jamii intelligence, wanaoijua ID yangu ya zamani, wanatambua mchango wangu.
siku hizi tumekuwa matured, akili zetu zimekuwa occupied na masuala mbalimbali ya kifamilia na jamii inayotuzunguka.
tumewaachieni nyinyi vijana wa kizazi cha tiktok na instagram mdanganyane.
Kwa hakika wewe Ni great thinkermwamba em endelea na mada yako ..sijatoshekaa mkuu.kwanza nikushukuru kwa nondo ka hizi ila ungekazia kwa upana kuhusu zinaaa ingekua bomba sana maana naona ndo core ya kila kitu kulingana na mada yko
piaa ujaeleza kuhusu mungu tunae mwabudu.ulisema ni idea za hao viumbe.ukimaanisha hatumuabudu babu wa mbingu kama vitabu vinavyotuambia.
nina swali?
1
vp babu wambinguni anauwezo wakujua moyo wa mtu .awazacho na atamaniacho kama tunavyoelezwa kwenye bible
2
ko unataka utuambie tuanze kufanya mapenzi at 40..as wasemavyo life begins at 40.tukae tusidinyanee?
3
tunaomba utueleze how agent washetani wanatumika .na nijinsi gan lucifers wana extract manii zetu na how wanazitumia.
4
vipi mwanaume hawezi kutumika kama agent wa lucifers..je hakuna wanacho kihitaji kwa mwanamke
5
msimamo wako katika imani ni upi ?kwakua umesema unajua mengi vipi ww una mwamini nan? vip kuhusu mizimu ya mababu zetu
6
em maelekezo ya vitabu au sehem unayokusanya nondo kali kama hizi. tueleze kama una yaotaa
au kuna mahali unasomaga..au umezaliwa nayoo
karibu kwenye mada mkuu
mwamba em endelea na mada yako ..sijatoshekaa mkuu.kwanza nikushukuru kwa nondo ka hizi ila ungekazia kwa upana kuhusu zinaaa ingekua bomba sana maana naona ndo core ya kila kitu kulingana na mada yko
piaa ujaeleza kuhusu mungu tunae mwabudu.ulisema ni idea za hao viumbe.ukimaanisha hatumuabudu babu wa mbingu kama vitabu vinavyotuambia.
nina swali?
1
vp babu wambinguni anauwezo wakujua moyo wa mtu .awazacho na atamaniacho kama tunavyoelezwa kwenye bible
2
ko unataka utuambie tuanze kufanya mapenzi at 40..as wasemavyo life begins at 40.tukae tusidinyanee?
3
tunaomba utueleze how agent washetani wanatumika .na nijinsi gan lucifers wana extract manii zetu na how wanazitumia.
4
vipi mwanaume hawezi kutumika kama agent wa lucifers..je hakuna wanacho kihitaji kwa mwanamke
5
msimamo wako katika imani ni upi ?kwakua umesema unajua mengi vipi ww una mwamini nan? vip kuhusu mizimu ya mababu zetu
6
em maelekezo ya vitabu au sehem unayokusanya nondo kali kama hizi. tueleze kama una yaotaa
au kuna mahali unasomaga..au umezaliwa nayoo
karibu kwenye mada mkuu
Ni ujumbe maalumu kutoka umoja wa mataifa United Nations
Mleta thread amelewa Bongo Don na Double punchndo madhara ya kuchanganya konyagi na bangi
Ni ujumbe maalumu kutoka umoja wa mataifa United Nations
Mbona wewe simulizi za biblia na korani umeziamini?..Masimulizi mengine sio tu vihoja ni uwendawazimu
Narudia tena ni uwendawazimu kwa mtu mwenye akili timamu anayeishi karne ya 21 kuamini masimulizi ya aina hii
Angalia hii hapa ndo utajua hawa reptilian shape shifters tunaishi nao na lengo lao ni kujifananisha na watu wanadamu. Hii ni ya watoto
nasubiri kwa hamu mkuu ..hio naomba uni tagMkuu kwanza umeuliza maswali critical sana. Nitaweka mada ambayo umeuliza maswali yako yote
Hasa na majina niliyoona niya kihindi tu hahahahHizi ni theories za Kihindi