Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,150
- 123,207
Knowledge ya kutoka chanzo gani?Hii sio habari ya ku google mkuu ni knowledge.
Knowledge ya kutoka chanzo gani?Hii sio habari ya ku google mkuu ni knowledge.
Bado huelewi umuhimu wa source katika habari?Source itakusaidia jini?
Namimi nilikua nafikiri hivyo, ni kigezo gani kilichotumika kuifanya hii mada iwekwe humu?Kwanini ipo Jamii Intelligence? Hii story yako ilifaa iwepo chit chat. You are abusing the forum.
Sasa kama normal human hawezi then who else can decodes them?Hata izo katuni huwa zinaluwa na ujumbe ambao , a normal human being like you can't understand.
Tin tin na magorila kule mapangoni. OloooooNdio ulichoelewa hapo? Embu nipe mfano wa comics moja kwani sizijui zipoje.
jaribu kutumia akili za kawaida hapo ametumia mfano wa kueleweka ila wengi mjue anamaanisha nini kutaja mbinguni na Mungu kusikupagawishe hiyo ni mifano tu mkuu,hata hiyo dini unayoabudu chanzo chake ni ANUNNAK writings huyo mwanzilishi wa imani yenu yaani Abraham alikua ni wakutoka Ashuru au unaweza ita Assyrian,Sumerian na Babylon sehemu ambayo walipata kushuka viumbe kutoka huko anga za juu mnakokuita mbinguni na hao viumbe mnawaita Malaika na kuanzisha ustaarabu duniani,Kwanza unakufuru kwa kusema vitabu vya dini vilitudanganya hapo hapo unazungumzia mbinguni. Wejamaa ninamashaka nawe Kama yule mwenzio mr dhibitisha aka kilanga.
Kumbuka umesoma na sie tumesoma tofauti iko wapi? Wewe umesema ibra Mimi najua adamu ni udongo na uhai. Huyo ibra ni nyama nyamani mwa wazazi wake. Vitabu viko vingi hasa India kipo kitabu kinacho Seema Yesu alioa na alifanikiwa kupata watoto tisa je niamini kua ni kweli Yesu alioa? Uzwazwa huo, kajiunge tu usione haya wenzio wanapata pesa na uchawi wenu.jaribu kutumia akili za kawaida hapo ametumia mfano wa kueleweka ila wengi mjue anamaanisha nini kutaja mbinguni na Mungu kusikupagawishe hiyo ni mifano tu mkuu,hata hiyo dini unayoabudu chanzo chake ni ANUNNAK writings huyo mwanzilishi wa imani yenu yaani Abraham alikua ni wakutoka Ashuru au unaweza ita Assyrian,Sumerian na Babylon sehemu ambayo walipata kushuka viumbe kutoka huko anga za juu mnakokuita mbinguni na hao viumbe mnawaita Malaika na kuanzisha ustaarabu duniani,
Haya mambo Kwa watu msiopenda kujisomea na mmefungwa fahamu mnaona kufuru ila ni ujinga wenu kutotafuta maarifa
Msione humu watu Kama sisi hatuna dini Wala hatumfuati Mungu wa Wayahudi Kuna mengi nyuma ya pazia Yana ukakasi na uwongo mkubwa!
Wake up black race!
Eti ukiangalia kwa jicho la tatu? Maana halisi ya hizo pembe 3 na namba 13 hujui, mfano mdogo unaweza nieleza kwanini mahotel ya nyota tano hakuna chumba namba 13? Na Kama kipo basi chumba namba tatu hakuna nipe mchanganuo wa hicho ulicho Sema jicho la tatuAiseee nilikua napitia maandiko ya kale ya ANNUNAKI nikayasoma haya yote uliyoandika hapa hasa chanzo Cha wale miungu walioabudiwa kale na Assyrian Sumerian na Babylon la kale,chanzo Cha miungu mingi kutokea Kwa jamii hizo ni pale Hao viumbe kuja duniani Kama Allien na kuwafundisha ujuzi watu na kufanya cloning project ya baadhi ya viumbe wa Dunia yetu,
Hivi vitu vimekaa Kama mahadith ya kufikirika Sana ila Kuna muda nachimba Sana nikaja gundua hata dini hizi za Abrahamic chanzo chake ni hayo masimulizi maana ukiunganisha dot ni kwamba hata jamaa wakuitwa baba wa imani Kwa watu flani alitoka kwenye jamii za waashuru wa kale waliobahatika kukutana na viumbe Hao na wakapewa ujuzi Toka kale,
Kingine kinachonifanya niunganishe dot ni pale Abraham anakutana na kiumbe wa ajabu wa kuitwa Merchizedeck aliyekua mtawala wa Salem na kumpa Siri na ujuzi jamaa maana ukiangalia Kwa jicho la tatu huyu mwamba ni kama alikua kiumbe mtu Allien aliyeanzisha makazi hapa Duniani!
Kitu kingine ambacho watu wengi hawakifikirii Kwa kina ni juu ya yule mwamba wa kuitwa
Nabii Elia mtishibi aliyekua na miujiza mingi Hadi ya kushusha moto Ile nilichimba sehemu ilikua ni vita kati yake na watu waliokua wanawahusudu Allien wengine tofauti na jamii yake kutoka Kwa mkuu wake El
Hata hivi masimulizi ya kukndoka na gari la farasi na moto kwenda mbinguni ni umbumbumbu wa masimulizi na uelewa wa mambo Kwani inadaiwa jamaa aliondoka na space shuttle kurudi kwenye sayari Yao akimkimbia Allien mwenye umbo la mwanamke wa wakuitwa Jezebel aliyejifanya pisi Kali Kwa kumlaghai mfalme mmoja wa Uyahudi,maana jamaa nae alikua na deals nae ila jezebel akamkazia na kumchimba mikwara akae mbali,
NB kumbuka Hawa viumbe Allien wanaweza kujigeuza kivyovyote kutokana na aina zao Kama wengi wanavyopenda waita majini!
Haya masimulizi Yana utata Sana ukija unga dot utagundua hata hizi dini ni geresha tu Kuna viumbe wameamua kutengeneza script kwenye maandiko yakuitwa matakatifu wakijinasibu ni miungu wa kweli kumbe wote Wana ajenda Moja tu kufanya wakazi halisi wa hii Dunia kuendelea kua watumwa wa kifikra huko wao wakifanya project zao bila kikwazo
Amka mtu mweusi!

haahhaha kwahiyo unataka kumaanisha sijui code ya namba tatu ambayo hutumika Kama trinity?Eti ukiangalia kwa jicho la tatu? Maana halisi ya hizo pembe 3 na namba 13 hujui, mfano mdogo unaweza nieleza kwanini mahotel ya nyota tano hakuna chumba namba 13? Na Kama kipo basi chumba namba tatu hakuna nipe mchanganuo wa hicho ulicho Sema jicho la tatu![]()
nje ya maada hata sielewi una maana Gani una jumba jumba tu huna ulijualo et Adam ni blah blaaah wewe mtu sikia nikwambie ukweli mchungu,Kumbuka umesoma na sie tumesoma tofauti iko wapi? Wewe umesema ibra Mimi najua adamu ni udongo na uhai. Huyo ibra ni nyama nyamani mwa wazazi wake. Vitabu viko vingi hasa India kipo kitabu kinacho Seema Yesu alioa na alifanikiwa kupata watoto tisa je niamini kua ni kweli Yesu alioa? Uzwazwa huo, kajiunge tu usione haya wenzio wanapata pesa na uchawi wenu.
"Hawa ndio Old Reptilian Generation ambao wanataka kuiteka sayari ya Dunia na kufanya mauaji ya kuuwa watu wote hapa duniani. kisha wajimilikishe dunia na kuwafanya binadamu watu kuwa watumwa hii ndiyo new world order"
HEBU RUDIA KUSOMA HUO UPUUZI ULIOANDIKA HAPO JUU HALAFU FUTA UZI WAKO HARAKA SANA. YAANI WATUUE WOTE THEN WATUFANYE WATUMWA.
mleta mada acha kusoma makala au vitabu vilivyoandikwa na conspiracy theorists. vinakupotezea mda.
Mmekasirika nini naona mnataka hata kumuua mleta mada! ? Ni hii mada mmekasirika hivi hadi mnataka kufanya mauaji ya kutisha au stress za maisha
Kwanza unakufuru kwa kusema vitabu vya dini vilitudanganya hapo hapo unazungumzia mbinguni. Wejamaa ninamashaka nawe Kama yule mwenzio mr dhibitisha aka kilanga.