Historia ya Lucifer

Historia ya Lucifer

Mkuu ikupendeze utusogezee hapa tutashukuru
mkuu Kama uzima ukiwepo Nina mpango wa kuandika bandiko la kuwahusu viumbe wakuitwa Annunaki na kuanzishwa Kwa civilization za mwanzo Kama Assyrian, Sumerian, Babylon,Egyptian,Kush Aztec, Maya, Peru,Indus valley,china,India nk maana huko Kuna historia kubwa ya kazi za mikono wa Hao viumbe Kwa mfano huko India katika Moja ya Jimbo la Tamil Nadu Kuna daraja la ajabu linaitwa Rama setu ni Moja kati ya maajabu yanayothibisha hapa Duniani kuliwahi kaliwa na viumbe wa anga za juu ambao wenyeji waliwaita miungu maana daraja la Rama setu limejengwa kukatiza bahari Kwa umbali wa km 40 hivi mpaka kisiwa Cha Sri Lanka na ukiangalia technology iliotumika inaacha utata Sana tu Ile ilikua zaidi ya technology binadamu wa kipindi kile hasa ukiangalia Yale mazingira unaona kabisa inakataa kwamba ni mkono wa binadamu hata wao wameshindwa kuthibitisha hata Kwa kubahatisha wameishia kusema miungu na viumbe wa ajabu ndio walijenga kwahiyo Kuna mambo mengi Sana Sana yanayohitaji ufafanuzi wa kina ila sharti lake lazima mahaba ya Dini uweke mbali ukubali kujifunza kitu!
 
usipende tafuniwa Kila kitu nenda Hata Wikipedia Anza kuwachimba kiundani Annunaki hizi information zote zipo ila Kama una kichwa kigumu itakua ngumu kuelewa ila kama ni mtu wa historia utaconect dot!
Mwenzio hapo juu ametuambia kuwa hizi elimu zinatubrainwash ubongo na zimejaa upotoshaji tena akaongeza kuwa elimu hiyo munayo zungumzia haiwezi kupatikana mahala popote wewe unasema niende wikipedia hiyo hiyo iliyo tengenezwa na watu wanao taka kutubrainwash
 
Mwenzio hapo juu ametuambia kuwa hizi elimu zinatubrainwash ubongo na zimejaa upotoshaji tena akaongeza kuwa elimu hiyo munayo zungumzia haiwezi kupatikana mahala popote wewe unasema niende wikipedia hiyo hiyo iliyo tengenezwa na watu wanao taka kutubrainwash
hahahaha Ngoja niweke Sawa mkuu unajua wale Watu ni wajanja Sana hua wanaweka ukweli wote wazi ila tabu inakuja watu wengi hawaupendi ukweli mchungu hivyo hata hua hawajishughulishi kusoma wanaona ni mavitu yasiyoeleweka mfano ndio haya nayokwambia lakini unaishia sababu Kuna kitu kipo kichwani mwako walichokupandikiza Cha kuitwa dini,dini ni zaidi ya Opium Kali ya Pakistan maana huta kubari kufunguka ubongo Kwa mahaba na hata ukipewa ukweli utaukataa
Ndio hivyo mkuu wangu ndio maaana mwamba nilivyomwelewa!
 
hahahaha Ngoja niweke Sawa mkuu unajua wale Watu ni wajanja Sana hua wanaweka ukweli wote wazi ila tabu inakuja watu wengi hawaupendi ukweli mchungu hivyo hata hua hawajishughulishi kusoma wanaona ni mavitu yasiyoeleweka mfano ndio haya nayokwambia lakini unaishia sababu Kuna kitu kipo kichwani mwako walichokupandikiza Cha kuitwa dini,dini ni zaidi ya Opium Kali ya Pakistan maana huta kubari kufunguka ubongo Kwa mahaba na hata ukipewa ukweli utaukataa
Ndio hivyo mkuu wangu ndio maaana mwamba nilivyomwelewa!
ingekuwa wewe ndio umetoa uzi basi ningeenda kukomaa na hizo wikipedia sasa hivi lakini mtoa mada amesisitiza zaidi ya mara moja kwenye uzi kuwa hizo elimu haizpatikani popote na ndio maana watu wakimuomba reference anakuwa mkali.

Wewe unacho kifanya kinamake sense japo kuna maswali lukuki ya kukuhoji ila hicho cha kusema elimu haipatikani sehemu yoyote halafu mtu anayo ndo kinaleta usingizi
 
At first place umesema nia yao ni kuwaua wanadamu wote ili waitawale dunia, hapohapo tena ukasema tena kuwafanya binadamu watumwa which is which to be noted?
At the end you emphasize on the very significant things of which human will be free; Let's live with love, peace, harmony and be positive minded people.
Asante kwa hii knowledge
 
Huwa wanachukia sana siri zao zikiwekwa hadharani lakini wao wanafurahi tukiwa wajinga.
Aisee hii mada ni hot sana naona wamepanic kuna kitu hapa naona umevujisha siri zao.Nataka kujua kitu kimoja ktk dini ya kiislam wanakataza sina kufanya zina hata ktk amri 10 za Mungu kupitia dini ya kristo amri namba sita inakataza kuzini.Naona ktk mada yako umeongelea sana hilo swala najaribu kulink hivi vitu.
 
Ndo mana vikundi kama freemason ni vya siri sana mtu kama wewe akili yako haina uwezo au capacity ya kujua mambo kama haya. Nakushauri fatilia mambo ya michezo kama mpira na taarifa ya habari ya saa mbili kisha angalia na miziki. Vitu hivi sio kwa ajili yako Smart.
kwa taarifa yako nina knowledge kubwa sana kuhusu habari zinazohusu vyama vya siri (secret societies). knowledge niliyonayo, wewe hata robo huifikii.

nilianza kujielimisha kwa kusoma vitabu mbalimbali miaka dahali iliyopita, wakati huo wewe ukiwa bado unanyonya.

kwa hapa jamii intelligence, wanaoijua ID yangu ya zamani, wanatambua mchango wangu.

siku hizi tumekuwa matured, akili zetu zimekuwa occupied na masuala mbalimbali ya kifamilia na jamii inayotuzunguka.
tumewaachieni nyinyi vijana wa kizazi cha tiktok na instagram mdanganyane.
 
kwa taarifa yako nina knowledge kubwa sana kuhusu habari zinazohusu vyama vya siri (secret societies). knowledge niliyonayo, wewe hata robo huifikii.

nilianza kujielimisha kwa kusoma vitabu mbalimbali miaka dahali iliyopita, wakati huo wewe ukiwa bado unanyonya.

kwa hapa jamii intelligence, wanaoijua ID yangu ya zamani, wanatambua mchango wangu.

siku hizi tumekuwa matured, akili zetu zimekuwa occupied na masuala mbalimbali ya kifamilia na jamii inayotuzunguka.
tumewaachieni nyinyi vijana wa kizazi cha tiktok na instagram mdanganyane.

Kama wewe una maarifa kwanini hutaki wenzako na wao wajifunze? Na kwanini unafatilia mada zangu kama huna lengo zuri la kusaidia watu binadamu wengine wapate kuamka?
 
Aisee hii mada ni hot sana naona wamepanic kuna kitu hapa naona umevujisha siri zao.Nataka kujua kitu kimoja ktk dini ya kiislam wanakataza sina kufanya zina hata ktk amri 10 za Mungu kupitia dini ya kristo amri namba sita inakataza kuzini.Naona ktk mada yako umeongelea sana hilo swala najaribu kulink hivi vitu.

Zinaaa inaondoa nuru katika uso wa mtu ,inaondoa aibu kwa mwanamke inaondoa rizki na inafukuza malaika wqzuri kutokana na harufu ya mzinifu, zinaa inaondoa mvuto au magnetic attraction zinaa harufu yake pamoja na majimaji yake yake ndio chakula cha hawa majini luciferian . Mzinifu yoyote yule haya madudu yanamfatilia popote aendapo.

Na pia sio mafundisho ya dini ya kiislamu tuu hata mafundisho ya Taoism pamoja na rosicrutian society wanachukulia ngono ni kitu hatari sana hasa kikipitiliza.
 
Lucifer huyu mkubwa anaitwa Humbaba
Aisee nimesoma hadi hapa nikawa excited. Huyu Humbaba ana uhusiano wowote na Humbaba aliyeshirikiana na Gilgamesh baada ya gharika la enzi za Utnapishtim yaani Biblical Noah au Nabii Hud wa Koran?
 
ingekuwa wewe ndio umetoa uzi basi ningeenda kukomaa na hizo wikipedia sasa hivi lakini mtoa mada amesisitiza zaidi ya mara moja kwenye uzi kuwa hizo elimu haizpatikani popote na ndio maana watu wakimuomba reference anakuwa mkali.

Wewe unacho kifanya kinamake sense japo kuna maswali lukuki ya kukuhoji ila hicho cha kusema elimu haipatikani sehemu yoyote halafu mtu anayo ndo kinaleta usingizi

Mkuu wikipedia kwako ni source of information? History is a lie vitu nilivyo andika hapo serach popote huwezi pata. Ukiweza google. Watawala wa kidunia hawawezi kukupa maarifa kirahisi kwa kupitia wikipedia.
 
Masimulizi mengine sio tu vihoja ni uwendawazimu

Narudia tena ni uwendawazimu kwa mtu mwenye akili timamu anayeishi karne ya 21 kuamini masimulizi ya aina hii
Mbona Bible inaongelea leviathans ila hauoni kma ni uchizi? Nadhani ni vizuri tupende kusoma taarifa kinzani kwa ajili ya maarifa tu au comparative reading ila ukiona usichoamini ukaita uwendawazimu tunakinzana na msingi wa JF where we dare to talk openly.
 
hahahaha Ngoja niweke Sawa mkuu unajua wale Watu ni wajanja Sana hua wanaweka ukweli wote wazi ila tabu inakuja watu wengi hawaupendi ukweli mchungu hivyo hata hua hawajishughulishi kusoma wanaona ni mavitu yasiyoeleweka mfano ndio haya nayokwambia lakini unaishia sababu Kuna kitu kipo kichwani mwako walichokupandikiza Cha kuitwa dini,dini ni zaidi ya Opium Kali ya Pakistan maana huta kubari kufunguka ubongo Kwa mahaba na hata ukipewa ukweli utaukataa
Ndio hivyo mkuu wangu ndio maaana mwamba nilivyomwelewa!
Lengo lao hasa ni nini mkuu
 
kwa taarifa yako nina knowledge kubwa sana kuhusu habari zinazohusu vyama vya siri (secret societies). knowledge niliyonayo, wewe hata robo huifikii.

nilianza kujielimisha kwa kusoma vitabu mbalimbali miaka dahali iliyopita, wakati huo wewe ukiwa bado unanyonya.

kwa hapa jamii intelligence, wanaoijua ID yangu ya zamani, wanatambua mchango wangu.

siku hizi tumekuwa matured, akili zetu zimekuwa occupied na masuala mbalimbali ya kifamilia na jamii inayotuzunguka.
tumewaachieni nyinyi vijana wa kizazi cha tiktok na instagram mdanganyane.
Tufungue mkuu sisi vijana wa dot com
 
Zinaaa inaondoa nuru katika uso wa mtu ,inaondoa aibu kwa mwanamke inaondoa rizki na inafukuza malaika wqzuri kutokana na harufu ya mzinifu, zinaa inaondoa mvuto au magnetic attraction zinaa harufu yake pamoja na majimaji yake yake ndio chakula cha hawa majini luciferian . Mzinifu yoyote yule haya madudu yanamfatilia popote aendapo.

Na pia sio mafundisho ya dini ya kiislamu tuu hata mafundisho ya Taoism pamoja na rosicrutian society wanachukulia ngono ni kitu hatari sana hasa kikipitiliza.
Nimekuelewa sana, sina sababu ya kuhoji chochote jinsi ulivoelezea madhara ya zinaa,nikiri kuwa sijawai kupata hii elimu popote zaidi ya kusikia au kusoma makatazo kuwa zinaa ni dhambi au uleta magonjwa na mwisho mzinifu uenda motoni, leo umeniongezea ufahamu
tofauti na niliouzoea kusikia, asante sana.
 
Back
Top Bottom