Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 685
- 1,332
Haya uliyajua wapi mkuu?!Hii sio habari ya ku google mkuu ni knowledge.
Haya uliyajua wapi mkuu?!Hii sio habari ya ku google mkuu ni knowledge.
Kumbe hii ni chaiSource itakusaidia jini?





kitu pekee kinacho eleweka hapo ni kwamba umetumia lugha ya kiswahili hamna kingine kinaeleweka mkuu.Ndio ulichoelewa hapo? Embu nipe mfano wa comics moja kwani sizijui zipoje.
Kwanini ipo Jamii Intelligence? Hii story yako ilifaa iwepo chit chat. You are abusing the forum.Umepanic brother, Why is that? its just a story au nimeandika sana?
Bora wewe umesema.Masimulizi mengine sio tu vihoja ni uwendawazimu
Narudia tena ni uwendawazimu kwa mtu mwenye akili timamu anayeishi karne ya 21 kuamini masimulizi ya aina hii
Wengi tunakushangaa hapa jukwaani.Umepanic brother, Why is that? its just a story au nimeandika sana?
Hata izo katuni huwa zinaluwa na ujumbe ambao , a normal human being like you can't understand.Mtoa mada huwa unaangalia sana vikatuni vya comics wewe??
Sasa nyie munaelewaje wakati binadamu wa kawaida hawezi kuelewa?Hata izo katuni huwa zinaluwa na ujumbe ambao , a normal human being like you can't understand.
Hili ni swali muhimu sanaAisee kumbe shetani nae alipiga shule mkuu.
Hujaweka source ya hizi taarifa zako au na wewe ni mmoja wa wao??