Historia ya kisiwa cha Mafia

Panda Mv. Nyamisati uone raha zake
Hahaaaa, ilikuwa mwaka 2012 nilipanda boti ya mbao hapo Nyamisati...baada ya kufika Simbaulanga chombo ikaanza kuingiza maji kwa chini huku kukiwa na upepo mkali. Wanaume tukashika ndo kutoa maji,hiyo safari kwangu siwezi kusahau milele.
 
Hahaha hahhahahah... JipuKubwa huo ushauri ushauri wa mshana jr uogope kama virus vya ZIKA

Hahaaaa, ilikuwa mwaka 2012 nilipanda boti ya mbao hapo Nyamisati...baada ya kufika Simbaulanga chombo ikaanza kuingiza maji kwa chini huku kukiwa na upepo mkali. Wanaume tukashika ndo kutoa maji,hiyo safari kwangu siwezi kusahau milele.

Mshana Jr hanitakii mema kabisa
after all unakutana na adventures. ..Simbaulanga si ndio pale mdomo wa kuingia bahari kuu,?
 
LOCATION:-
Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani.
Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu
1.Usafiri wa majahazi (kisiju)
2.Usafiri wa boti (nyamisati)
3.Usafiri wa ndege (JNIA)


WAKAZI WAKE
Wengi wa Wakazi wa kisiwa cha MAFIA ni watu kutoka nje ya kisiwa hicho, watu kutoka rufiji ndo watu wakwanzakwanza kufika kisiwan mafia,

UCHUMI
Uchumi wa watu wa Mafia unategemea sana UVUNAJI WA NAZI, pamoja na UVUVI katika bahari ya hindi

*******Karibuni sana kisiwani mafia******

Na Watu wa rufiji je ni waasili? wao hawajahamia?
 
Mafia imebadilika, moams ni night club, huyo kimario mchoma nyama kahamia kule kwenye ukumbi wa karitas, pale kwa isaya amefungua gest nyingine ina self container. Nauli boat 12500, jumlisha nauli ya mbagala nyamisati uwe na 20 elf, masaa matatu baharini
 
Hawana ubaguzi wa dini, kila ifikapo december wakatoliki huwa wana leta watoto zaidi 3000 kutoka dar na hao watoto huwa wanakuja na hizo boat za mbao
 
Mafia imebadilika, moams ni night club, huyo kimario mchoma nyama kahamia kule kwenye ukumbi wa karitas, pale kwa isaya amefungua gest nyingine ina self container. Nauli boat 12500, jumlisha nauli ya mbagala nyamisati uwe na 20 elf, masaa matatu baharini
Ndo unaenda kutafuna huko nauli tu 40,hujala hujalala!!!! labda awe miss Tanzania
 
Kuna mtu ametokea kijiji cha chole nilivyomuuliza kabila lake akasema hana kabila. Je, ni kwel?
Huwenda ikawa kweli sababu watu wengi wa mafia ukiwauliza kabila lao watakuambia wao Washirazi na kuna baadhi ya watu wanapiga yakuwa ushirazi sio kabila bali ni race
 
Tunatamani kuja mafia tatizo hotel za huko zina gharama kubwa araf azipo nying kama kule pemba
 
Back
Top Bottom