Hahaaaa, ilikuwa mwaka 2012 nilipanda boti ya mbao hapo Nyamisati...baada ya kufika Simbaulanga chombo ikaanza kuingiza maji kwa chini huku kukiwa na upepo mkali. Wanaume tukashika ndo kutoa maji,hiyo safari kwangu siwezi kusahau milele.Panda Mv. Nyamisati uone raha zake
Mshana Jr hanitakii mema kabisa
Hahaaaa, ilikuwa mwaka 2012 nilipanda boti ya mbao hapo Nyamisati...baada ya kufika Simbaulanga chombo ikaanza kuingiza maji kwa chini huku kukiwa na upepo mkali. Wanaume tukashika ndo kutoa maji,hiyo safari kwangu siwezi kusahau milele.
after all unakutana na adventures. ..Simbaulanga si ndio pale mdomo wa kuingia bahari kuu,?Mshana Jr hanitakii mema kabisa
Ndiko kwenyewe, kijiji cha wavuvi.after all unakutana na adventures. ..Simbaulanga si ndio pale mdomo wa kuingia bahari kuu,?
Ubuyu kidogo mkuu ... gesti hiyo ya mh. ikoje?Nitarudi tena Ibiza na ile gesti inayomilikiwa na mbunge. ...mmmh gesti ile!!!kweli tembea uone
Mafia ndo home nini Tatiana mana yaonesha waifahamu vyema ...Ooh ok... Sasa ni 125,000...
Kile kipindi nilichopoteaUbuyu kidogo mkuu ... gesti hiyo ya mh. ikoje?
Ibiza pakijaa unaenda mtaa wa nyuma kwa Mwl Isaya.Nitarudi tena Ibiza na ile gesti inayomilikiwa na mbunge. ...mmmh gesti ile!!!kweli tembea uone
Hakuna self contained rooms paleIbiza pakijaa unaenda mtaa wa nyuma kwa Mwl Isaya.
hahaha mkuu, mimi jamii forums sio mkongwe ila content zako zinafanya nipende kuingia humu,Nitarudi tena Ibiza na ile gesti inayomilikiwa na mbunge. ...mmmh gesti ile!!!kweli tembea uone
LOCATION:-
Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani.
Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu
1.Usafiri wa majahazi (kisiju)
2.Usafiri wa boti (nyamisati)
3.Usafiri wa ndege (JNIA)
WAKAZI WAKE
Wengi wa Wakazi wa kisiwa cha MAFIA ni watu kutoka nje ya kisiwa hicho, watu kutoka rufiji ndo watu wakwanzakwanza kufika kisiwan mafia,
UCHUMI
Uchumi wa watu wa Mafia unategemea sana UVUNAJI WA NAZI, pamoja na UVUVI katika bahari ya hindi
*******Karibuni sana kisiwani mafia******
Ndo unaenda kutafuna huko nauli tu 40,hujala hujalala!!!! labda awe miss TanzaniaMafia imebadilika, moams ni night club, huyo kimario mchoma nyama kahamia kule kwenye ukumbi wa karitas, pale kwa isaya amefungua gest nyingine ina self container. Nauli boat 12500, jumlisha nauli ya mbagala nyamisati uwe na 20 elf, masaa matatu baharini
Huwenda ikawa kweli sababu watu wengi wa mafia ukiwauliza kabila lao watakuambia wao Washirazi na kuna baadhi ya watu wanapiga yakuwa ushirazi sio kabila bali ni raceKuna mtu ametokea kijiji cha chole nilivyomuuliza kabila lake akasema hana kabila. Je, ni kwel?