sasa kupora mke wa mtu na kuvunja ndoa kisha kutelekeza familia halafu ukawa na kadi mbili za vyama tofauti kuna uhusiano gani na mtu kuwa msukuma au mhaya, acha kuchanganya madesa wewe
Munyanga sijui ni akili kufikiria kwa makalio ulitaka uolewe wewe mbona mnamfatilia sana Dr Slaa,kadi mbili mbona Wasira anazo mbili hamsemi,Nape anayo ya CCJ hamsemi na Sita je mbona mnakuwa na wivu wa kijinga tafuteni cha kuongea na si kila wakati CHADEMA ila Mwigulu ni Kilaza