Historia ya Elimu ya Chenge kwenye website ya bunge ina walakini

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
Screenshot 2024-02-28 at 10-29-59 Parliament of Tanzania.png

Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu.

Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya kati, yaani advance, huku ikiwa haina taarifa alisoma wapi sekondary ya upili (CSEE)
 
View attachment 2918909
Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu.

Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya kati, yaani advance, huku ikiwa haina taarifa alisoma wapi sekondary ya upili (CSEE)

Kama huelewi hapo ni wewe ndiyo mwenye matatizo.

Primary school kasoma Sasago na St. Pius seminary. Secondary O Level kasomea Nygezi na A Level kasomea Mkwawa .... sasa tatizo liko wapi hapo!!?
 
zamani walikuwa wanafanya mtihani huo wa kutoka Cambridge... ndio maana unaona o-level... hapo na hata ukihesabu miaka ina range 4 ile ile ya o-level ... hajaunga sana​
 
View attachment 2918909
Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu.

Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya kati, yaani advance, huku ikiwa haina taarifa alisoma wapi sekondary ya upili (CSEE)
Kijana, hilo Baraza la Mitihani Tanzania (National Examination Council of Tanzania aka NECTA) ambalo wewe ndilo lilikutahini, lilianzishwa mwaka 1971. Kabla ya hapo kulikuwa na baraza la mitihani nchi zote za Afrika Mashariki (Tanzania, Kenya na Uganda) ie The East Africa Examination Council ambalo lililosimamiwa na Uingereza na mitihani yake ilitungwa na Cambridge University huko London.

The Ordinary Level Certificate ilikuwa ina incorporate a General Certificate of Education (GCE) ambayo ni ya nchi zote za Jumuiya za Madola ya Muingereza zilizokuwa makoloni ya Muingereza.

Hivyo hata hiyo ACSEE ya Chenge ya mwaka 1968 ni Cambridge University na siyo ya NECTA kama ya kwako. Baada ya nchi zote za EA kujitoa kwenye baraza hilo la mitihani la Cambridge University mwaka 1971, ndipo kila nchi nchi hizo ikaanzisha baraza lake la mitihani na kutunga curriculum zake kwa wanafunzi wake wa shule za sekondari. Curriculum hizi hapa kwetu zimekuwa zilibadilishwa kila kukicha kwa matakwa ya wanasiasa hadi kupelekea elimu ya vijana wetu kushuka sana ukilinganisha na viwango vya kimataifa.

Kushuka huku kwa elimu ya vijana wetu ni hadi kwenye vyuo vikuu vyetu. Utakuta sasa mhitimu wa shahada ya udaktari wa binadamu hawezi kufanya operesheni ya kutoa kidole tumbo kwa mgonjwa wa acute appendicitis. Utakuta wahitimu hawa hawawezi kutoa mtoto kwa njia ya operesheni (Ceaserian Section) kwa mama mjamzito mwenye pingamizi la uzazi (obstructed labour) ili hali huko nyuma wahitimu ya diploma in medicine (AMO) waliweza kufanya operesheni hizo kwa ufanisi mkubwa.

Hivyo ndivyo kwa wahitimu wetu wa sasa kwa profession zote hususani wanasheria na wapelelezi wa kesi za jinai, wahandisi, wahasibu na kadhalika. Wanachokijua na walichobobea kwa sasa ni kupiga dili tu.
 
View attachment 2918909
Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu.

Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya kati, yaani advance, huku ikiwa haina taarifa alisoma wapi sekondary ya upili (CSEE)
Do...!, elimu ya baadhi yetu ni shidah!, mtu ameandikiwa O- Level ya Cambridge University pale St. Mary's Nyegezi hukuiona?!.
P
 
Kijana, hilo Baraza la Mitihani Tanzania (National Examination Council of Tanzania aka NECTA) ambalo wewe ndilo lilikutahini, lilianzishwa mwaka 1971. Kabla ya hapo kulikuwa na baraza la mitihani nchi zote za Afrika Mashariki (Tanzania, Kenya na Uganda) ie The East Africa Examination Council ambalo lililosimamiwa na Uingereza na mitihani yake ilitungwa na Cambridge University huko London.

The Ordinary Level Certificate ilikuwa ina incorporate a General Certificate of Education (GCE) ambayo ni ya nchi zote za Jumuiya za Madola ya Muingereza zilizokuwa makoloni ya Muingereza.

Hivyo hata hiyo ACSEE ya Chenge ya mwaka 1968 ni Cambridge University na siyo ya NECTA kama ya kwako. Baada ya nchi zote za EA kujitoa kwenye baraza hilo la mitihani la Cambridge University mwaka 1971, ndipo kila nchi nchi hizo ikaanzisha baraza lake la mitihani na kutunga curriculum zake kwa wanafunzi wake wa shule za sekondari. Curriculum hizi hapa kwetu zimekuwa zilibadilishwa kila kukicha kwa matakwa ya wanasiasa hadi kupelekea elimu ya vijana wetu kushuka sana ukilinganisha na viwango vya kimataifa.

Kushuka huku kwa elimu ya vijana wetu ni hadi kwenye vyuo vikuu vyetu. Utakuta sasa mhitimu wa shahada ya udaktari wa binadamu hawezi kufanya operesheni ya kutoa kidole tumbo kwa mgonjwa wa acute appendicitis. Utakuta wahitimu hawa hawawezi kutoa mtoto kwa njia ya operesheni (Ceaserian Section) kwa mama mjamzito mwenye pingamizi la uzazi (obstructed labour) ili hali huko nyuma wahitimu ya diploma in medicine (AMO) waliweza kufanya operesheni hizo kwa ufanisi mkubwa.

Hivyo ndivyo kwa wahitimu wetu wa sasa kwa profession zote hususani wanasheria na wapelelezi wa kesi za jinai, wahandisi, wahasibu na kadhalika. Wanachokijua na walichobobea kwa sasa ni kupiga dili tu.
Hizi ni porojo za aliyekata tqmqq.
 
View attachment 2918909
Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu.

Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya kati, yaani advance, huku ikiwa haina taarifa alisoma wapi sekondary ya upili (CSEE)
Tatizo lipo huwezi kusoma kidato cha sita kwa mwaka mmoja hiyi haikuwepo hapo wamebugi
 
Ngumu sana sisi kuhoji ubora wa elimu ya mababu zetu, ambayo inaonesha sisi tukipewa mitihani ya Cambridge ya kutoka London sote tutafeli vibaya sana.

Kiwango chake cha digrii ya pili kutoka Harvard University chuo kikuu tajwa ulimwengu kilichopo USA inatosha kutufanya tusihoji zaidi
 
Huyu Mzee huwa naenjoy sana aki hojiwa
Ngumu sana sisi kuhoji ubora wa elimu ya mababu zetu, ambayo inaonesha sisi tukipewa mitihani ya Cambridge ya kutoka London sote tutafeli vibaya sana.

Kiwango chake cha digrii ya pili kutoka Harvard University chuo kikuu tajwa ulimwengu kilichopo USA inatosha kutufanya tusihoji zaidi
 
Hizi ni porojo za aliyekata tqmqq.
Siyo porojo. Waulize wakubwa zako kujua elimu ya enzi hizo hadi za akina Kikwete na Mkapa. Enzi za Mwl Nyerere O level ya Cambridge ukiifaulu unakuwa admitted Makerere University College huko Uganda ambayo ilikuwa ni constituent college ya London University. Nakufundisha historia ya elimu yetu, tulikotoka.
 
Do...!, elimu ya baadhi yetu ni shidah!, mtu ameandikiwa O- Level ya Cambridge University pale St. Mary's Nyegezi hukuiona?!.
P
Oho, na wewe Pascal ulikuwa hujui? Ndivyo ilivyokuwa. Wahitimu wa shule za sekondari zetu walikuwa wanatunukiwa vyeti vya Cambridge University incorporating a general certificate of education. Fanya utafiti kidogo utajua.
 
Wee vipi? 1967 hadi 1968 ni miaka miwili. Mwaka wa masomo enzi hizo ilikuwa January hadi December. Hivyo alianza A level January 1967 na akamaliza December 1968. Umeelewa?
Kwa kawaida kidato cha tano huanza mwezi wa tano na hukamilika mwaka mzima kwa mwaka unaofuata hivyo huyu alitakiwa kuwa amemaliza mwaka 1969 sio 1968
 
Back
Top Bottom