watakuja kusema hicho ni kibamia
Ila kaka mdhana we kiboko.!
Marehemu bado tulikuwa tunamhitaji sana n.a. pengo halizubiki ndio maana tumeamua kufanya uchunguzi upya kuhusu kifo chake isije ikawa alipotezwa makusudi.Wakiwa na nyuso za bashasha kabisa watu hawa wakiwa wamebeba masalia ya marehemu
makabidhiano ya ushahidi wa kifo cha marehemu mbele ya kiranja mkuu