B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,383
Hujui kitu kichwa cheupe hicho km mvi za lowassa.ngoja upewe darasa hapa hapa.
Hujui kitu kichwa cheupe hicho km mvi za lowassa.ngoja upewe darasa hapa hapa.
Diamond wamuache kbs, kwasas kushindana nae ni kujipa pressure tu..!!
amber lulu na gigy money ni wasanii???mimi loser ms bigotries?
Akili zangu kubwa sana ndio maana wewe na mumeo hakuna mnachoweza kunizidi and I'm sure of that.
Ukweli gani useme wewe hujui kitu watu tuko kwenye hii tasnia tunaelewa nini kilifanyika everything was under control na watu waliuwa.
Lights zilikuwa heavy.
Sound ya kibabe.
DJs makini.
Drummers wa maana.
Pianists wa kufa mtu.
Stage la kimataifa.
Wasanii walipangwa kimtiririko mzuri hakuna kilichoboa msanii kama mzee wa bwax, amber lulu, gigy mapesa na sholo mwamba kupanda kwenye stage kama ile unafikiri mchezo masikini wewe?
Endelea kutufatilia hutaweza kuacha maana tunajua huna namna
Kuwepo tu kny hii thread imeshakuhusuWho cares? ,wajaze wasijaze hayanihusu
Entity mbili tofauti.Ah ah watanzania bana rahisi sanakuwacontrol ukiwajua kwasababu ya usahaulifu...nani kakwambia diamond hayupo himaya ya clouds...unamjua joseph kusaga wewe aka suge knight
Duh.....Mliohudhuria wasafi kama kuna mtu anamjua huyu dada aende akapimeView attachment 1259228
Unaijua primwtime promotion.....nyoka ni yule yule rangi tu ndo imechangeEntity mbili tofauti.
Sio clouds group of companies....
hii ndio silaha yenu iliyobaki,mengine yote mmechemka hahahahaaaAh ah watanzania bana rahisi sanakuwacontrol ukiwajua kwasababu ya usahaulifu...nani kakwambia diamond hayupo himaya ya clouds...unamjua joseph kusaga wewe aka suge knight
Narudia tena, entity tofauti kabisaaaaa. Mmiliki wa timu ya arsenal fc ya uingereza anamiliki pia timu huko marekani ya american football. Haiaanishi arsenal na hiyo timu zina uhusiano.Unaijua primwtime promotion.....nyoka ni yule yule rangi tu ndo imechange
Makonda kadai hajawahi ona hilo nyomi.Jana nimeheenda nimeshindwa kuingia,Kwajinsi watu walivyokuwa wengi sana.
Wasanii wazamani(kizazi cha dhahabu) wamenifikirisha sana mkuu yn ngoma zao bd zpo moyoni kwa watu nawatu wanazipenda sana sasa nashindwa kuelewa hawa jamaa walikwama wapi mana wengiwao wamepotea kabisa nakwasasaiv kila wanavyojaribu kuzaliwa upya ngoma inakataa sasa najiuliza nikwamba uwezo wao wakutunga manyimbo makali umepotea ama vp mana kama nisaport sisi tunachohitaji ninyimbo nzr tu hatuangalii inaujumbe gani, nyimbo yko itapenya tuMwisho wa siku its all about business...
Kilichopendeza ni ile style ya wasanii wa zamani kuimba nyimbo zao, alafu nyimbo ya mwisho anaimba aliyo fanya collabo na msanii mwingine alafu huyo msanii hujitokekeza... safi sana...
Ferouz alizingua, alikua haimbii kitu, playback mwanzo mwisho mpaka Jay alivyoingia...
Nimefurahi kuwaona wasanii wa zamani... safi sana...
Cc: mahondaw
Babaako kaa humo wahuni sio watu wazuri
Mimi nikufunze wewe mwenye chuki janamke gani wewe usiejielewa badala ushoboke angalau utoe kimaso maso ka ukoo kenu tukajadili humu unakalia majungu.Nan kakwambia humu kuna mtu atakuwa offended kwa maneno?
Yaan wewe unabishana na kila mtu humu kuhusu wasafi festival hujion kama una shida?
Hebu rudi ufunzwe na wazazi kwanza maana huna adabu kabisa kijana.
Haufatilii Ila unashabikia, mahaba yakizidi huleta upofu na kufunga uwezo wa kufikiri, hapakuwepo na kiingilio Cha 1m.Kwanza mmepunguza kiingilio mpaka 5000 wakati wasafi wameweka 10000, 500000 na mil 1 na wamejaza mpaka wengine wameshindwa kuingia kwenye show uoni ni aibu kuongea hiyo kauli yako.
Utoto raha sana,unaonaje umati wote huo ukiwa ndani ya umati huo