Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,942
- 15,707
Na kweli alafu wapenzi mkishazoeana ata majina ya mifugo mnaitana tuNdio bana, mi binafsi ukiniita jina lng inatosha sn, mengine bwebwe tuu
Na kweli alafu wapenzi mkishazoeana ata majina ya mifugo mnaitana tuNdio bana, mi binafsi ukiniita jina lng inatosha sn, mengine bwebwe tuu
Maserati[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sababu yake ni nini?Umenishaur vizur sana ....asante sasa nitajuaje kama ni A au B.....nilishazungumza nae sana akafanya kama siku 2 akaacha
Halafu mnainjoi balaa yaan,Na kweli alafu wapenzi mkishazoeana ata majina ya mifugo mnaitana tu
Wataka kupendwa kwa maneno au kwa vitendo.Mi ninamchumba/mpenz ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhan kama miez kadhaa tu hv haifik 6...
Sasa huyu mwenzangu kama simuelew hv Sijui nimaumbile,,mazoea,,hanipendi yaan sielewi
Yaan kwake ningum kuniita mpenz, yaan majina tu ya kimapenz ningum akijitahid sana ananiita MY.....
Ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote...mpenz,,honey,,mke hata neno nakupenda nitaitwa....lkn katika hali ya kawaida ni ngum kuniambia ananipenda au kanimiss ...Mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia ..
Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahid baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu,,
Najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia namimi???
Tabia kama yangu hiyo aisee yani siwezigi tu hahahaMi ninamchumba/mpenz ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhan kama miez kadhaa tu hv haifik 6...
Sasa huyu mwenzangu kama simuelew hv Sijui nimaumbile,,mazoea,,hanipendi yaan sielewi
Yaan kwake ningum kuniita mpenz, yaan majina tu ya kimapenz ningum akijitahid sana ananiita MY.....
Ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote...mpenz,,honey,,mke hata neno nakupenda nitaitwa....lkn katika hali ya kawaida ni ngum kuniambia ananipenda au kanimiss ...Mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia ..
Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahid baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu,,
Najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia namimi???
haijaandikwa mahali kwamba n lazima lakini huwezi kumuita mpenzi wako ndugu yangu au my,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]haijaandikwa mahali kwamba n lazima lakini huwezi kumuita mpenzi wako ndugu yangu au my,
Hahahaha niemcheka bila kutarajia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tushakua mwili mmoja.
Ndugu yangu chausiku. I love you
AntonioMaserati
Ila jamaa katisha saaana. Eti ndugu yangu chausiku.Hahahaha niemcheka bila kutarajia
Una hatari, ndugu yako ni yule asiyeweza hata kujua maumbile yako wewe yako vipi sasa mtu mnajuana had madhaifu yenu mnaitanaje ndugu ndio mana hata kidini kwetu sisi huwez kumuita mkeo mama wala mume aitwe baba ukiita hivo ni talaka tayari
Kuna mtu hapo kamshauri amfanye awe anadindisha kila saa ili awe anamuita.. jajajjaj..Usimwambie akuite, ila mfanye akuite....