Hili swali linaniumiza sana kichwa

Hili swali linaniumiza sana kichwa

Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile,mazoea,hanipendi yaani sielewi.

Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumi akijitahidi sana ananiita MY ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote mpenzi,,honey,mke hata neno nakupenda nitaitwa lakini katika hali ya kawaida ni ngumu kuniambia ananipenda au kanimiss mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia.

Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahid baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia namimi???


Wewe bado mtoto, ukikua utaacha tu. Hayo mapenzi unayoyataka wanaume wengine hawafanyi hivyo....
 
Ndio shida ya mapenzi ya maigizo ya kuiga kwenye movies. Nani kakuambia mapenzi ya kweli yanaoneshwa kwa maneno matamu matamu ambayo hata kuyapima kama yanatoka moyoni ni vigumu? Mtu anayekupenda utamjua tu hata kama hasemi hayo maneno unayoyataka wewe. Sio vizuri kumlazimisha mtu atamke vitu ambavyo yeye haoni kama ni muhimu katika mahusiano.

Ushauri: Acha kugegedwa kabla ya ndoa.
 
Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile,mazoea,hanipendi yaani sielewi.

Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumi akijitahidi sana ananiita MY ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote mpenzi,,honey,mke hata neno nakupenda nitaitwa lakini katika hali ya kawaida ni ngumu kuniambia ananipenda au kanimiss mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia.

Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahid baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia namimi???
Hakupend were Bali anapenda kitu ambacho kinafata
 
Kuna kitu kinaitwa love language. Nadhani ndicho kinakusumbua.
Ni vyema mkakaa pamoja mkazungumza juu ya love language zenu (jinsi mlivyozoea kuexpress love na jinsi unavyopenda kuipokea).

Kwa haraka, love language yako ni 'words of affirmation' hivyo mwenzio hata akikununulia zawadi. Akikushika, etc bila kukutamkia maneno yanayoonesha upendo wake kwako, hujaridhika bado. Jitahidi msome pamoja juu ya hili ili kufahamiana zaidi.

Pili, kama akidindisha anatamka maneno ambayo anapenda uyasikie maana yake anajua love language yako na huenda;

A) sio njia yake ya kuonesha upendo ila anafanya kukuridhisha ila ni mvivu kukumbuka kufanya hivyo kila wakati. Mtu wa hivi unapaswa kumkumbusha mara kwa mara, kwa upendo kuwa ukisikia his affirmation of his love to you, you feel more loved. Zungumzeni ujue na yeye language yake kisha mboreshe mapenzi yenu - hapa nimewaza kama anakupenda kweli.

B) huenda anajua fika love language yake ila upendo nawe hana. Anakutamani. Anajua wakati wa kutumia hiyo lugha pale anapokuhitaji. Wakati hana shida na wewe haoni umuhimu wowote. Kwa mtu wa hivi nakushauri mkimbie maana ni rahisi kukufanya mfungwa. Atakuaminisha kuwa hakuzoea, ataitumia tu pale akiwa na haja na wewe (hii pattern itajirudia, so ni rahisi kuinote - kama ambavyo umeigundua na kuielezea vyema hapa).

Mwisho, acha ngono..pamoja na jamii kuifanya ngono ni kitu cha kawaida..lakini ngono imewafanya wadada wengi kuwa kwenye mahusiano mfu, hayana mipango ya mbali zaidi ya kuwaza style mpya. Kama una lengo la kuwa mke wa mtu siku za mbeleni, achana na ngono katika mahusiano. Hasa haya ya miezi miwili sijui.

Ukiondoa ngono kwenye mahusiano mengi (kwa wote wa kiume na ke) ni rahisi kujua kama uhusiano huo una future ama la. Ngono ina nguvu kubwa sana kulivyo tulivyoirahisisha.
Kudos Mentor
 
kupenda usipopendeka n sawa na ..............., cha msingi we mbane awe anakutoa mtonyo hayo majina n mbwembwe tu.
 
Kweli wanawake tumetofautiana machaguo,haya basi muache huyo katafute wale wa-romantic wanajua kujibebisha hao! ila ukubali kuchunwa maana wengi wao viben 10.
 
Hakai masasi kweli uyo bwanako....mana nna ex wangu yupo masasi anatabia hizo usije kua umemkwaa uyo
 
WAKATI MWINGNE NI MALEZ TU. KAMA ANAKUPENDA INATOSHA KWA 7BU UTAKUTANA NA MAFUNDI WA KUITA HAYO MAJINA LAKN WAFUNUA CHUPI TU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom