Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,837
Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
Ni gharama zake. Bado tu hatujiulizi anazirudishaje? Na muda anaoupoteza je? Yaani anafanyanya kazi bure?Mi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga Ni Nani anazisimamia?
Au na yeye Ni mtanzania mzalendo kwenye asili ya kizungu? Mi naona Kuna Jambo kubwa nyuma ya huyu mtu.Ni gharama zake. Bado tu hatujiulizi anazirudishaje? Na muda anaoupoteza je? Yaani anafanyanya kazi bure?
Hahah hahah hahahah kama tu hawana majibu ya maswali mepesi tutawezaje kuwaamini kwenye mambo magumu?TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Ulitaka wakujibuje. nadhani kuna mahali hujanielewaHahah hahah hahahah kama tu hawana majibu ya maswali mepesi tutawezaje kuwaamini kwenye mambo magumu?
Anatia shaka. Hata mababu zake walitumia mbinu hizihiziKati ya watu nisiowaamini kiusalama ni huyu mshangiliaji asiye na faida.
Swala sio gaharama, nani connection wake kuweza kupenya hadi jikoni.Mi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga Ni Nani anazisimamia?
Hili ni janga jipya la nchi yetu kuwa na ujuaji wa hovyo daraja la kwanza. Unafikili vyombo vya usalama havisomi motive za watu ambao wanatishia usalama wa nchi yetu ndio maana tuko salama mpaka sasa.Haya mambo yapo Tanzania tu, idara ya shughuli za kisiri imelala fofofo nchi inachezewa kiboya
Hii amani unayoiona unadhani ni nani wanaitengeneza!?Hahah hahah hahahah kama tu hawana majibu ya maswali mepesi tutawezaje kuwaamini kwenye mambo magumu?
Hiki ndicho kinachotugharimuTatizo wa Waafrika tunapenda sana kushobokea wazungu. Hapo ingekuwa mtu kutoka Uganda au Kenya angeonekana chizi na asingealikwa kokote. Lakini kwa vile jamaa mzungu kila sehemu anaitwa, wakija kutahamaki washadukuliwa.
Mkuu,mbona nakuona kama uelewi.Sasa kama ni spy na keshafika kwa Rais unafikiri unaweza kumzuia?Yeye anatafuta PESA na anatumia PESA na wewe Unamfuatilia.Umeona Tofauti?Unapomafuatilia yeye ndo anaupiga mwingi na kuingiza mpunga.Mi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga Ni Nani anazisimamia?
Mangungo wasomi.Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177