Nakumbuka siku moja katika pita yangu nikakutana na binti mmoja alikuwa Ni mwanafunzi anasoma kwenye moja ya international School ambayo ilikuwa pembezoni kidogo na yeye ametoka nje ya gate so nikakutana nae me nilikuwa hapo mwaka wa kwanza chuo.
Kiukwel nipomuona tu nikampenda na alikuwa mzuri Sana macho yalikuwa mazuri Kama ya paka hivi,Sauti yake unaweza kuombea mkopo benki ukapata mkopo bila hata kuwepo riba,tabasamu lake lilikuwa la bashasha linaondoa kabisa stress ulizonazo,kifuani mtoto chuchu saa sita,ngozi yake ni natural nzuri no mkorogo, miguu yake soft utazani aiwekea air condition muda wote kiufupi mtoto alikuwa analipa.
Wakati sijamtokoza niliwaza demu atakuwa advance level au form four na me napenda demu awe angalau kwenye hizo level za elimu cos naona demu anakuwa ni mature kidogo kiakili.Nikamwita huyo demu akaja nikabidi nimvute zaidi sehemu tulivu Hakuna watu akaniuliza mbona unanisogeza zaidi nikamwambia Kuna Jambo kubwa nataka tuongee kwanza kabisa swali la kwanza nikamuuliza upo kidato gani akanijibu yupo KIDATO CHA KWANZA 🤣mzee baba nilichoka kiakili mpaka mwili, moyoni nikajijibu form i hapana aisee ikabidi nichange gia angani 😄 nikazuga na kumuuiza hiv shule yenu ada ni shilling ngapi? Akajibu Ni laki 7 akaniuliza ndio hiko pekee ulichoniitia? Nikabidi nijiongeze kwa uongo nikamwambia nimekuuliza hivyo cos Kuna ndugu yangu anasoma hiyo shule tunampa ada laki 9 alipe kumbe! shule unalipia laki 7 akajibu ndio hivyo nikamwambia basi nenda shule.
Kiukwel nipomuona tu nikampenda na alikuwa mzuri Sana macho yalikuwa mazuri Kama ya paka hivi,Sauti yake unaweza kuombea mkopo benki ukapata mkopo bila hata kuwepo riba,tabasamu lake lilikuwa la bashasha linaondoa kabisa stress ulizonazo,kifuani mtoto chuchu saa sita,ngozi yake ni natural nzuri no mkorogo, miguu yake soft utazani aiwekea air condition muda wote kiufupi mtoto alikuwa analipa.
Wakati sijamtokoza niliwaza demu atakuwa advance level au form four na me napenda demu awe angalau kwenye hizo level za elimu cos naona demu anakuwa ni mature kidogo kiakili.Nikamwita huyo demu akaja nikabidi nimvute zaidi sehemu tulivu Hakuna watu akaniuliza mbona unanisogeza zaidi nikamwambia Kuna Jambo kubwa nataka tuongee kwanza kabisa swali la kwanza nikamuuliza upo kidato gani akanijibu yupo KIDATO CHA KWANZA 🤣mzee baba nilichoka kiakili mpaka mwili, moyoni nikajijibu form i hapana aisee ikabidi nichange gia angani 😄 nikazuga na kumuuiza hiv shule yenu ada ni shilling ngapi? Akajibu Ni laki 7 akaniuliza ndio hiko pekee ulichoniitia? Nikabidi nijiongeze kwa uongo nikamwambia nimekuuliza hivyo cos Kuna ndugu yangu anasoma hiyo shule tunampa ada laki 9 alipe kumbe! shule unalipia laki 7 akajibu ndio hivyo nikamwambia basi nenda shule.