comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,948
"Mdogo wangu anaitwa Teresia Rubeni Mrimi. Ana cheti chake Cha kidato Cha nne kinachoshikiliwa katika Shule aliyosomea iitwayo Mother Theresa of Calcutta Secondary School nayomilikiwa na Kanisa Catholic Jimbo la Same.
Mwaka 2014 Fr. (Padre) Emmanuel Yatera alimtembelea Fr. Valentino Luvara Paroko wa parokia ya Vudee juu.
Katika ugeni huo Fr. Emmanuel Yatera kwa kushirikiana na Fr. Luvara walimuomba Mtoto Teresia Rubeni Mrimi kwa Wazazi wake aliyekuwa anasoma kidato Cha pili katika Shule ya Secondary Masheko (government) kuwa wanamtaftia mfadhili hivyo kumbeba na kumwingiza kwenye Shule yao ya Jimbo Mother Theresa Secondary School mwaka 2014.
Binti huyu alikuwa akifanya vizuri katika Shule hiyo ya kata kitu kichomvutia Paroko wa parokia ya Vudee Juu na Fr. Yatera ambaye alikuwa Mkuu wa Shule ya Mother Teresa kwa kipindi hicho.
Walimchukuwa Mtoto huyu anayetoka Familia ya kimaskini na kwenda kumwanzisha kidato Cha kwanza mwaka 2014-2018. Yaani walimrudisha nyuma. Baada ya kuhitimu, Shule hiyo sasa imeshikilia Cheti chake na kudai kuwa wanamdai Tsh. Milioni nne na laki mbili. (4,200,000).
Tangia mwaka 2018 hadi leo 2024 binti huyu anaranda randa mtaani akililia haki yake ambayo imepokwa na watumishi wa Mungu.
Familia ya Mzee Mrimi imetoa kila aina ya machozi kwa makasisi hawa lakini hakuna matumaini yoyote, wanajiuliza kuwa Wana nia gani na binti yao.
Walikuja wenyewe kumuomba kwa kigezo kuwa ni binti mzuri mwenye akili pevu yenye kung'amua mambo kwa urahisi pia angeweza kuwa mwanafunzi bora kwenye Shule yao, yaani kuitangaza Shule . Lakini mwishowe wameshikilia cheti Chake na kumtwisha mzigo wa deni mzazi huyu ambapo angesoma shule ya serikali aliyokuwa akisoma asingedaiwa pesa hiyo wala kushikiliwa cheti chake.
Familia ya Mzee Mrimi Tunaomba msaada wako bwana Yericko utufikishie kwa serikali ituokolee binti yetu apate cheti aendelee na masomo.
Namba ya Baba Mzazi wa Teresia Mrimi ni +255 783 841 577.
Namba ya Mkuu wa Shule ya Mother Theresa ni 0758 372 121.
Namba ya Meneja wa Shule Padre Fr. Mbaga +255 715 930 537
Number ya Simu ya Padre Emmanuel Yatera +255 767 066 701."CC...
@wizara_elimuTz
@ummymwalimu
@Dr_DGwajima
Mwaka 2014 Fr. (Padre) Emmanuel Yatera alimtembelea Fr. Valentino Luvara Paroko wa parokia ya Vudee juu.
Katika ugeni huo Fr. Emmanuel Yatera kwa kushirikiana na Fr. Luvara walimuomba Mtoto Teresia Rubeni Mrimi kwa Wazazi wake aliyekuwa anasoma kidato Cha pili katika Shule ya Secondary Masheko (government) kuwa wanamtaftia mfadhili hivyo kumbeba na kumwingiza kwenye Shule yao ya Jimbo Mother Theresa Secondary School mwaka 2014.
Binti huyu alikuwa akifanya vizuri katika Shule hiyo ya kata kitu kichomvutia Paroko wa parokia ya Vudee Juu na Fr. Yatera ambaye alikuwa Mkuu wa Shule ya Mother Teresa kwa kipindi hicho.
Walimchukuwa Mtoto huyu anayetoka Familia ya kimaskini na kwenda kumwanzisha kidato Cha kwanza mwaka 2014-2018. Yaani walimrudisha nyuma. Baada ya kuhitimu, Shule hiyo sasa imeshikilia Cheti chake na kudai kuwa wanamdai Tsh. Milioni nne na laki mbili. (4,200,000).
Tangia mwaka 2018 hadi leo 2024 binti huyu anaranda randa mtaani akililia haki yake ambayo imepokwa na watumishi wa Mungu.
Familia ya Mzee Mrimi imetoa kila aina ya machozi kwa makasisi hawa lakini hakuna matumaini yoyote, wanajiuliza kuwa Wana nia gani na binti yao.
Walikuja wenyewe kumuomba kwa kigezo kuwa ni binti mzuri mwenye akili pevu yenye kung'amua mambo kwa urahisi pia angeweza kuwa mwanafunzi bora kwenye Shule yao, yaani kuitangaza Shule . Lakini mwishowe wameshikilia cheti Chake na kumtwisha mzigo wa deni mzazi huyu ambapo angesoma shule ya serikali aliyokuwa akisoma asingedaiwa pesa hiyo wala kushikiliwa cheti chake.
Familia ya Mzee Mrimi Tunaomba msaada wako bwana Yericko utufikishie kwa serikali ituokolee binti yetu apate cheti aendelee na masomo.
Namba ya Baba Mzazi wa Teresia Mrimi ni +255 783 841 577.
Namba ya Mkuu wa Shule ya Mother Theresa ni 0758 372 121.
Namba ya Meneja wa Shule Padre Fr. Mbaga +255 715 930 537
Number ya Simu ya Padre Emmanuel Yatera +255 767 066 701."CC...
@wizara_elimuTz
@ummymwalimu
@Dr_DGwajima