Hili suala ilinichekesha Sana

Hili suala ilinichekesha Sana

Mbona sioni tatizo maana mleta mada alikuwa first year. Hata mimi binafsi naweza kuwa na mwanafunzi wa A level, hawa wanachuo nakaa nao wala siwakubali kivile labda sijakutana na wakunibadilisha mentality yangu. Sanasana nafidia kwa kuwa interested na wanaosoma diploma. Labda nifike 3rd year ndo niweze kutazama 1st au 2nd.
Hata hivo niko single.
Waambie hao au walikuwa mapadri ndo maana hawazijui hizo angle.
 
Hapana sio dharau
Nmeona hata ulichoandika bado sikielew 24 yako nikakupa mdada wa 22yrs anaejitambua anakupiga knockout achana na watt hakuna challenge wanayokupa wala wanachokuongezea kwenye brain yako
Umewahi kuwa na uhusiano kipindi upo O-level au A-level?
 
24?! Sikulaumu endelea na unayoyafanya
Mlaumu, 24 ni umri mkubwa sana, si wa kuhangaika na binti wa O-level/A-level ambaye akili zake bado hazijajua ni nn kinamsubiri maishani.
Hawa ndo wanakataaga mimba maana uvulana bado unamsumbua.
 
Mlaumu, 24 ni umri mkubwa sana, si wa kuhangaika na binti wa O-level/A-level ambaye akili zake bado hazijajua ni nn kinamsubiri maishani.
Hawa ndo wanakataaga mimba maana uvulana bado unamsumbua.
Kipindi hiko nilikuwa Nina miaka 22 sio 24 ila kwa sasa Nina miaka 24.
 
Back
Top Bottom