Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,050
Kwani Kuna tatizo gani mwanafunzi wa chuo akawa na uhusiano na mwanafunzi wa A-level au O-level mbona hata kwenye mashuleni kulikuwa na mahusiano ya mapenzi.
30 years
Kwani Kuna tatizo gani mwanafunzi wa chuo akawa na uhusiano na mwanafunzi wa A-level au O-level mbona hata kwenye mashuleni kulikuwa na mahusiano ya mapenzi.
Hahahaha ni hatar kwa kweliUkiwa single mother wa mtoto wa kike upate mume kama huyo lazima amgegede huyo mtoto. Ni hatari mnno
Unafikiri kuna tatizo kubwa basi! Ndio mana serikali ikaweka kifungo Cha miaka 30 tu jelaKwani Kuna tatizo gani mwanafunzi wa chuo akawa na uhusiano na mwanafunzi wa A-level au O-level mbona hata kwenye mashuleni kulikuwa na mahusiano ya mapenzi.
Mbona unacheka?😀😀😀 jamani
Umewahi kutongozwa na wanaume wangapi?Mchanganyiko mm ni laini sana kumeza mzee ila ukijua unataka nini na wakati gani inasaidia sana
600Umewahi kutongozwa na wanaume wangapi?
Usimsikilize huyo mpuuzi sipo WCBHuyu ni wa wcb kumbe
Umewahi kumpenda mwanaume kipindi upo O-LEVEL au A-LEVEL?
No sio kupenda crush zinatokea ila hazina faida now cut maswaliUmewahi kumpenda mwanaume kipindi upo O-LEVEL au A-LEVEL?
Ikitokea imefika stage hiyo uwezi kukataa wanaume wote wanaokutongoza.Bro wangu ameoa mwanamke ambaye ameanza uhusiano wa kimapenzi nae tangu wapo form 3, A-level akasoma nae wakaacha chuo walisoma vyuo tofauti sasa hiv tunaongea ni Mke na Mume na Wana miaka miwili tangu afunge ndoa.No sio kupenda crush zinatokea ila hazina faida now cut maswali
Thats your broIkitokea imefika stage hiyo uwezi kukataa wanaume wote wanaokutongoza.Bro wangu ameoa mwanamke ambaye ameanza uhusiano wa kimapenzi nae tangu wapo form 3, A-level akasoma nae wakaacha chuo walisoma vyuo tofauti sasa hiv tunaongea ni Mke na Mume na Wana miaka miwili tangu afunge ndoa.
Sijamanisha ninapenda wasichana wa shule ila nimesema ilitokea nikampenda mwanamke huyo wa shule nikiwa first year wa chuo huo ni wakati uliopita ni vizuri kusoma mada vizuri na uielewe.Thats your bro
.ur 24 man au kwanza achana na watt
Nmekuelewa relaxSijamanisha ninapenda wasichana wa shule ila nimesema ilitokea nikampenda mwanamke huyo wa shule nikiwa first year wa chuo huo ni wakati uliopita ni vizuri kusoma mada vizuri na uielewe.
Ndivyo sheria inavyowatambua! Awe form 1,2,3 au 6 ni watoto hata kama anamiaka 25! Achana na wanafunzi wa msingi na sekondari ndugu utapotelea jela! Sheria imevipa upendelea sana hivi vitoto ingawa tunajua vinapenda sana kutafunwa!Unawaita watoto kwa msingi upi?
Acha wenzio wasome, wew hujui unaweza kuharibu masomo ya wenzio. Hujawahi kusikia mapenzi na shule ni kama mlenda na chai. Eti uko hapa bila aibu unasema eti mwanafunzi wa O level sijui A level kwani kunatatizo gani. 😎Kwani Kuna tatizo gani mwanafunzi wa chuo akawa na uhusiano na mwanafunzi wa A-level au O-level mbona hata kwenye mashuleni kulikuwa na mahusiano ya mapenzi.
Kwahiyo ndio unatuambiaje hapo kwa Mfano, au unahisi hiyo habari ya broo ako ndio Inaweza ikawa reference ukikamatwa na mtoto wa shule.😏Ikitokea imefika stage hiyo uwezi kukataa wanaume wote wanaokutongoza.Bro wangu ameoa mwanamke ambaye ameanza uhusiano wa kimapenzi nae tangu wapo form 3, A-level akasoma nae wakaacha chuo walisoma vyuo tofauti sasa hiv tunaongea ni Mke na Mume na Wana miaka miwili tangu afunge ndoa.